Iraq siyo mwanachama wa nato....hicho kipengele cha mmoja akishambuliwa wote wameshambuliwa kinafanya kazi ndani ya mipaka ya Nchi wanachama wa NATO pekee....
Na siyo Iran pekee huko Afghanistan mamia ya wanajeshi wa Marekani wameuwawa
Military Operations Nje ya mipaka ya nato haihusiki hata kama inafanywa na nchi mwanachama wa Nato inatakiwa Iran Ishambulie US moja kwa Moja au Nchi mwanachama tuone.