Hivi kuchoma moto noti (Pesa) kama hivi inaruhusiwa??

Hivi kuchoma moto noti (Pesa) kama hivi inaruhusiwa??

Sio fedha halisi, Ni fedha bandia.
Naomba kuuliza naweza kua mshamba hivi kuchoma hela hadharani
Hela za kufanya kazi hiyo hua ni fake na hua wanazi print kwa ruhusa maalum
Zipo na zinapatikana kirahisi, kwa matumizi ya video/movie na bei ni nafuu kwa furushi la dola
1625375843892.png


1625375943291.png


Code:
https://www.aliexpress.com/item/1005002853392820.html?spm=a2g0o.search0302.0.0.51d47b1brhWRFo&algo_pvid=73b8aa56-9115-4b21-b8db-b169e18e7229&algo_expid=73b8aa56-9115-4b21-b8db-b169e18e7229-0&btsid=0bb0622d16253758017311282e3a0a&ws_ab_test=searchweb0_0,searchweb201602_,searchweb201603_
 
Bendera ni tambara tu wewe kama matambara mengine. Mbona watu wanachoma magauni ,suruali na nguo zao nyingine hawakamatwi?

Kwann ukamatwe ukiichoma bendera ambayo ni nguo tu? Usikariri wewe! Hatuko Korea Kaskazini hapa.

Yaani unamkamata anayechoma bendera unamwacha mama Samia anayevunja katiba?

Mimi juzi juzi tu hapa nimechoma bendera na sijakamtwa.
Akili yako unaijuaga mwenyewe wewe shemale
 
Bendera ni tambara tu wewe kama matambara mengine. Mbona watu wanachoma magauni ,suruali na nguo zao nyingine hawakamatwi?

Kwann ukamatwe ukiichoma bendera ambayo ni nguo tu? Usikariri wewe! Hatuko Korea Kaskazini hapa.

Yaani unamkamata anayechoma bendera unamwacha mama Samia anayevunja katiba?

Mimi juzi juzi tu hapa nimechoma bendera na sijakamtwa.
Duuh...! Jaribu kwa uwazi uchome bendera. Chukua bendera kubwa tu ya Tz ichome moto huku ukirekodiwa au nenda mitaa ya changanyikeni,itisha watu anza kuchoma bendera.
Yatakayotokea baada ya hapo kama hujagawanywa vipande usije hapa kulalamika
 
Bendera ni tambara tu wewe kama matambara mengine. Mbona watu wanachoma magauni ,suruali na nguo zao nyingine hawakamatwi?

Kwann ukamatwe ukiichoma bendera ambayo ni nguo tu? Usikariri wewe! Hatuko Korea Kaskazini hapa.

Yaani unamkamata anayechoma bendera unamwacha mama Samia anayevunja katiba?

Mimi juzi juzi tu hapa nimechoma bendera na sijakamtwa.
Duuh...! Jaribu kwa uwazi uchome bendera. Chukua bendera kubwa tu ya Tz ichome moto huku ukirekodiwa au nenda mitaa ya changanyikeni,itisha watu anza kuchoma bendera.
Yatakayotokea baada ya hapo kama hujagawanywa vipande usije hapa kulalamika
 
Acha pang'ang'a.

Jichukue shooting ukiwa unachoma bendera. Kwakua una uhakika ni tambara tupu taja na eneo unalopatikana na jina lako, onyesha na sura.

Kama hautafanya hivyo hii mada mimi na wewe iishie hapa.
hayo mavi anayo??
 
Bendera ni tambara tu wewe kama matambara mengine. Mbona watu wanachoma magauni ,suruali na nguo zao nyingine hawakamatwi?

Kwann ukamatwe ukiichoma bendera ambayo ni nguo tu? Usikariri wewe! Hatuko Korea Kaskazini hapa.

Yaani unamkamata anayechoma bendera unamwacha mama Samia anayevunja katiba?

Mimi juzi juzi tu hapa nimechoma bendera na sijakamtwa.
Wewe itakua chupa inapooza
 
Bendera ni tambara tu wewe kama matambara mengine. Mbona watu wanachoma magauni ,suruali na nguo zao nyingine hawakamatwi?

Kwann ukamatwe ukiichoma bendera ambayo ni nguo tu? Usikariri wewe! Hatuko Korea Kaskazini hapa.

Yaani unamkamata anayechoma bendera unamwacha mama Samia anayevunja katiba?

Mimi juzi juzi tu hapa nimechoma bendera na sijakamtwa.
Usidanganye watu...utawasababishia wabinywe pumbu...au kwakua we huna ndo mana ukajua hawatakubinya??
 
Acha pang'ang'a.

Jichukue shooting ukiwa unachoma bendera. Kwakua una uhakika ni tambara tupu taja na eneo unalopatikana na jina lako, onyesha na sura.

Kama hautafanya hivyo hii mada mimi na wewe iishie hapa.
Uko kote mbali ye ajichukue afu arushe WhatsApp au Facebook ata akijificha sura...aone miujiza anakuta watu wako mlangoni kwake...maeeeeee
 
Bendera ni tambara tu wewe kama matambara mengine. Mbona watu wanachoma magauni ,suruali na nguo zao nyingine hawakamatwi?

Kwann ukamatwe ukiichoma bendera ambayo ni nguo tu? Usikariri wewe! Hatuko Korea Kaskazini hapa.

Yaani unamkamata anayechoma bendera unamwacha mama Samia anayevunja katiba?

Mimi juzi juzi tu hapa nimechoma bendera na sijakamtwa.
Kaichome huku unarecord video kisha post kwenye mitandao ya kijamii
 
Pesa za kitanzania ni makosa, ila kwa Dollar unachoma bila tatizo...
 
Kuna mwanamziki mmoja boya wa BAD BOYS juzi amerekodi video anatupa dola laki moja ( USD 100,000) kwenye maji, ambazo ni sawa na hela za kibongo million 230. Laana za kujitafutia. Halaf kesho na keshokutwa mtu anaishiwa anakufa na stress. Kumbe majanga kayatafuta mwenyewe
 
Bendera ni tambara tu wewe kama matambara mengine. Mbona watu wanachoma magauni ,suruali na nguo zao nyingine hawakamatwi?

Kwann ukamatwe ukiichoma bendera ambayo ni nguo tu? Usikariri wewe! Hatuko Korea Kaskazini hapa.

Yaani unamkamata anayechoma bendera unamwacha mama Samia anayevunja katiba?

Mimi juzi juzi tu hapa nimechoma bendera na sijakamtwa.

Aisee yawezekana ulichomea chumbani kwako huwezi fananisha bendera ya taifa na boxer; BENDERA [emoji1241] ni symbol na ni nyara ya taifa vivyo hivyo kwa pesa nembo ya taifa au wimbo[emoji445] wa taifa sheria hairuhu vichezewe hata kidogo ukithibutu ikathibitika sheria inakuhusu aisee[emoji23][emoji23]
 
Kila nchi inaweza kuwa na sheria tofauti katika hili, ila kwa Tanzania pesa ni mali ya Serikali, ni kosa la jinai kuichoma, kuichana au kuichakaza kwa makusudi.

Huruhusiwi kukaa na pesa nyingi ndani au kuzichimbia chini au kuzificha Kwa namna yoyote itakayo ashiria kuwa pesa hizi zilikuwa zimefichwa.
Hata unapokuwa na pesa nyingi Benk Serikali inaweza kuhoji kama itaona (kunaulazima) uhalali wa pesa hizi, utalazimika kithibitisha pesa hizi zimepatikana Kwa vyanzo gani.
 
Back
Top Bottom