eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,379
Magoli halisi pele aliyefunga ni 800tu ila alikuwa na kila kitu alichonacho mess leoAmeyafungia wap hayo Pele ndondo cup?
Ikiwa Brazil amebakizwa goal 25 na neymar kufunika utawala wake
Nakusoma vizuri sanaEmbu pima uzito wa mechi alizofunga pele kuminganisha na neymar!!
Goli za pele nyingi ni crucial mfano worldcup alitoka na goli 12 ambazo zote zilikuwa goli muhim sana kwenye hatua za mitoano!!! Huyo neymar ana crucial goals gani ukiachilia makombe mangapi pele alikuwa ameshapata akiwa umri huhuu wa neymar!!! au magoli baada ya kutengewa pasi na messi ndio unamuona jembe??
Jaman punguzen mahaba,Bila ubishi wote tunajua kuwa Leonel Messi ndiyo mchezaji bora kutokea tokea dunia iumbwe. Ila kumekuwa na haters wachache wakisema hawezi kuwa bora mpaka abebe kombe la dunia, kweli? Kombe la dunia linachezwa kwa muda wa mwezi mmoja kila baada ya miaka minne. Timu hadi kuchukua kombe inakuwa imecheza mechi saba. Je mashindano mafupi hivyo yanatosha kupima ubora wa mchezaji au ni uhater tu?
Unaujua mpira kijana, agiza supu naja lipaNakusoma vizuri sana
Pele ameisaidia Brazil kutwaa kombe la dunia akiwa na miaka 17 tu tena akifunga magoli mawili kwenye finaly na sweeden mwaka 1958
Agiza bapa naja lipa, [emoji16]Messi hana chochote cha maajabu alichokifanya kwenye soka hadi sasa, amafanya mengi ila katika level za kawaida, huwezi kabisa kusema eti ni mchezaji bora wa muda wote.
Tuje kwa George Weah,aliifanyia nn liberia mpka akapata uchezaj bora wa dunia?Yeah maana timu ya taifa hainaga usajili hivyo uwezo binafsi wa mchezaji ndio unaonekana mfano kwa bale akiwa wales ndio unamuona kwa uhalisia kuliko akiwa na stae studded real madrid team au kma messi akiwa argentina unamuona kwa uhalisia kuliko barca kulikoja masuperstar
Kipimo cha juu cha uwezo wa mchezaji ni timu ya taifa maana kma hauna masuperstar huwezi sajili hivyo tunaona uhalisia wa wachezaji kwahyo nakubaliana na hoja kuwa kombe la dunia ndio kipimo cha uwezo wa mchezaji
Siwaelewagi KABISA wanaomsifiaga Mess huu nauitaga uendawazimu.Mchezaji bora gani mechi ya UEFA anashindwa kupata ata attempt 1!? Rejea game ya Bacca vs PSG wakiwa Ufaransa.angeama basi ata ligi tukaona uwezo wake ,hana lolote .Timu yake ya taifa inawachezaji wazur sana lakini ameweka mchango gan??Ameanzia mpira Bacca mpaka leo yuko Bacca linganisha bas na C.Ronado ambae aliamia then angalia nani kavunja rekod zaidi.Alafu mludi hapa nasifa zenu.
NAOMBA JUMLA YA MAKOMBE ALIYOCHUKUA PELE KWENYE MAISHA YAKE YA SOKA Kisha ufananishe na ya King MessiMkuu hiyo bado haina maana...ukweli ni kuwa PELE NDO NUKSI WACHEZAJI NA MALEGENDS WENZAKE WALIOCHEZA PAMOJA AKIWEMO "ZICO WA BRAZIL" na "FERENC PUSKAS" WANAMSUJUDU NDO IWE HIYO YA MESSI HAPO???...MESSI NI MCHEZAJI MZURI LAKINI HAWEZI KUWA JUU YA PELE NA HAMKARIBII ATA KWA 1000000MILES,SI KWA UFUNGAJI WALA CHOCHOTE KILE MAANA ATA UKICHUKUA GOALS ZOTE ZA MESSI 565 UKAYAZIDISHA MARA MBILI(565×2) NA AKAONGEZEWA GOALS 150 JUU ZA BURE HATOFIKIA RECORD YA PELE GOALS 1283 na assist s 437.
View attachment 532138
View attachment 532140
Akijibu utanistuaTuje kwa George Weah,aliifanyia nn liberia mpka akapata uchezaj bora wa dunia?
maxwell wa psg, ibrahimovic, giggs wote wana makombe zaidi ya hayo, kama makombe ni kipimo cha ubora je hao ni bora zaidi?Hata Messi angetwaa kombe la Dunia bado wasingeishiwa sababu
King Messi anawaumiza sana roho
kipindi cha pele faulo ya kuingia na miguu miwili ilikuwa ni kawaida hata firimbi haipulizwi, pele alikuwa anapigwa buti hadi anasusa mechi, ila leo kipush kidogo tu unaambiwa ni foul. messi anavyotapika uwanjank kipindi cha pelle asingecheza kabisa.Mkuu hayo magoli 1000 ni offside sasa hata wewe si ungefunga kibao au kwa jinsi penado anavyotupia magoli ya offside ingekuwa ndio bado offside ni ruksa angekuwa anaondoka na bao 30 kwa mechi
pelle na messi wamecheza makombe mawili tu pamojaNAOMBA JUMLA YA MAKOMBE ALIYOCHUKUA PELE KWENYE MAISHA YAKE YA SOKA Kisha ufananishe na ya King Messi
aiseeee jamaa kalazwa vibaya sana
gaucho kama okocha kwenye mafanikio tena bora gaucho kachukua world cupNipe Ubora wa Messi uliomzidi Ronaldinho......
Nipe Ubora wa Messi uliomzidi Ronaldinho......
wakati pele anacheza kulikua na offside?????Magoli 565?? Wakati pele ana magoli 1350!!!! Get real messi sio all time labda ni best kwenye karne hii ila kma wwe ni mfuatiliaje wa classic football utagundua hata di stefano tu hafikiwi na messi
kipindi cha pelle kulikuwa na mechi za kirafiki za kimataifa, sijui u17, u18, u20, u21, mara olimpiki. copa america kila mwaka etc,Ameyafungia wap hayo Pele ndondo cup?
Ikiwa Brazil amebakizwa goal 25 na neymar kufunika utawala wake