BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
HAPANA SIO SABABU.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja,huko kwenye vilabu watu wanatembelea nyota Za watuYeah maana timu ya taifa hainaga usajili hivyo uwezo binafsi wa mchezaji ndio unaonekana mfano kwa bale akiwa wales ndio unamuona kwa uhalisia kuliko akiwa na stae studded real madrid team au kma messi akiwa argentina unamuona kwa uhalisia kuliko barca kulikoja masuperstar
Kipimo cha juu cha uwezo wa mchezaji ni timu ya taifa maana kma hauna masuperstar huwezi sajili hivyo tunaona uhalisia wa wachezaji kwahyo nakubaliana na hoja kuwa kombe la dunia ndio kipimo cha uwezo wa mchezaji
Unasoma form one up to four for four years then necta ni only three hoursBila ubishi wote tunajua kuwa Leonel Messi ndiyo mchezaji bora kutokea tokea dunia iumbwe. Ila kumekuwa na haters wachache wakisema hawezi kuwa bora mpaka abebe kombe la dunia, kweli? Kombe la dunia linachezwa kwa muda wa mwezi mmoja kila baada ya miaka minne. Timu hadi kuchukua kombe inakuwa imecheza mechi saba. Je mashindano mafupi hivyo yanatosha kupima ubora wa mchezaji au ni uhater tu?
Huwezi kuyaita magoli ni offside kama Sheria ya offside haikwepo.Kama unadhani ilikuwa Rahisi kufikisha magoli 1000 basi majority ya wachezaji wa zamani wangekuwa Na magoli 1000+Mkuu hayo magoli 1000 ni offside sasa hata wewe si ungefunga kibao au kwa jinsi penado anavyotupia magoli ya offside ingekuwa ndio bado offside ni ruksa angekuwa anaondoka na bao 30 kwa mechi
Dah hamna Sub,Hamna Red kweli mpira ulikuwa mgumuIla unasahau kulikuwa unapigwa viatu hamna red card
Unasahau kulikuwa hakuna matuta baada ya dakka 120 yaani kesho yake mechi inarudiwa upya
Unasahau pia kulikuwa hakuna sub kma sahvi hivyo mmoja akiumia ndio imekula kwenu
Huoni jinsi jamaa alivyoshine kwenye wakati mgumu sana!!!!
Messi angecheza enzi Za Pelle angestaafu mpira akiwa Na miaka 25kipindi cha pele faulo ya kuingia na miguu miwili ilikuwa ni kawaida hata firimbi haipulizwi, pele alikuwa anapigwa buti hadi anasusa mechi, ila leo kipush kidogo tu unaambiwa ni foul. messi anavyotapika uwanjank kipindi cha pelle asingecheza kabisa.
kasome vizuri historia ya pelle
Hakuna Mkuu na ushahidi huu hapa.
Acha kabisa mkuu afu ndio watalinganisha na hawa kina messi wakivutwa shati tu mtu anakula red na akichoka ronaldo anaingizwa bale??????Dah hamna Sub,Hamna Red kweli mpira ulikuwa mgumu
Hivi unajua pele amestaafu mpira zaidi ya mara tatu ila ikikaribia world cup ndio anabembelezwa kucheza!! Alistaafu akiwa na umri wa miaka 25 ndo akarudi wakati wa world cup!!!! Sasa neymar anacheza kila mechi toka ameanza kuwa timu ya taifa ndio utalinganisha na pele?Ameyafungia wap hayo Pele ndondo cup?
Ikiwa Brazil amebakizwa goal 25 na neymar kufunika utawala wake