Hivi kuchukua kombe la dunia ni kipimo cha uchezaji bora?

Hivi kuchukua kombe la dunia ni kipimo cha uchezaji bora?

Jaman punguzen mahaba,

Messi amzidi GAUCHO?

C. RONALDO mwenyewe Kwa GAUCHO anasubiri sana.

[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
mkuu gaucho ameonyesha uwezo misimu miwili tu na akaanza kukaza mademu wasiomhusu na kuharibu kiwango chake.

linapokuja suala la mchezaji bora wa miaka yote unatakiwa uperform kwenye top level angalau hata miaka 7, hivyo gaucho huwezi mueka.
 
Kuna nguli De Lima tafuta clip zake na gaucho kuna mmoja ka copy mwenzake
 
Mtoa mada kukujibu,

kutwaa kombe la dunia si kigezo cha kuwa bora ila kuipa timu yako kombe la dunia ni kigezo cha kuwa bora miaka yote.

maradona, pele, zidane hawakuwa tu kwenye vikosi vilivyotwaa kombe la dunia bali wao wenyewe kwa kiasi kikubwa walibadilisha matokeo na kuzipa nchi zao makombe.

messi anajua chenga, anajua pasi za magoli, anajua kufunga na mambo mengi ya mpira, ila ikifika siku ya fainali ghafla anapotea, siku ambayo kila mtu anamuangalia yeye na wanategemea maajabu yake ndio siku anayopotea,

sasa kwa style hio unaniaminishaje ni mchezaji bora wa miaka yote? kwa kuwafunga alaves na granada?

hata huo mwaka ambao walifika fainali kombe la dunia messi hajafunga wala kutoa pasi ya goli kwenye hatua za mtoano, aliwaonea tu kwenye makundi.

wakati zidane anawavuruga vibaya sana brazili pale 1998 na kutwaa ubingwa, pele ndio kabisa kabeba mara 3 na akifunga magoli muhimu kila stage. maradona nae chenga zake zilikuwa ni siku muhimu alikuwa anahakikisha anafanya mambo makubwa pale timu inapo muhitaji.

Argentina wenyewe bado hawasemi messi ni bora kuliko maradona sembuse Dunia?
 
Hebu tuondoleeni upuuzi wenu hapa...huyo Messi ana ufundi gani wa kuchezea mpira kumzidi Ronaldinho?
Kwa sasa Messi anashindana na Ronaldo tu kwenye Ballon dO'rs, hii maana yake wanapokezana na mmoja kamzidi mwenzake kitu ambacho ni tofauti sana na kizazi cha soka kilichopita wakali walikuwa wengi sana hivyo kwa mtu mmoja kuchukua tuzo mara nyingi ilikuwa ngumu.
Mfano 1998 hadi 2006 dunia imeshuhudia uwepo wa De lima, Zidane, Figo, Beckham, Kaka, Thiery Henry, Rivaldo, na wengine wengi sana sasa ww ulitegemea angechukua mmoja tu?
 
NAOMBA JUMLA YA MAKOMBE ALIYOCHUKUA PELE KWENYE MAISHA YAKE YA SOKA Kisha ufananishe na ya King Messi

Hahaha!...kazi ndogo sana hiyo, umenivuruga ngoja nitulie nifungue thread about The really PELE...The One&Only at the top of All players in the world, alafu uje mwenyewe useme kama messi anatamba kwa PELE...just wait you will see all of it man.
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Hahaha!...kazi ndogo sana hiyo, umenivuruga ngoja nitulie nifungue thread about The really PELE...The One&Only at the top of All players in the world, alafu uje mwenyewe useme kama messi anatamba kwa PELE...just wait you will see all of it man.
Wakati unajiandaa nikuombe matokeo ya Mmoroko
 
asee mtu kombe la dunia hatahajachukua bas tumpe pass
unakuta hata kombe la kuku akiwa na taifa lake hajachukua

hamna kitu hapo
 
  • Thanks
Reactions: PNC
KUNA TETESI ETI RONALDO ATAPIGA PENALTY YAKE KESHO[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
jikite kwenye mada ndugu mchangiaji
 
  • Thanks
Reactions: PNC
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
jikite kwenye mada ndugu mchangiaji
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pole mkuu najua imekukera sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pole mkuu najua imekukera sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
tatizo Chile wana kamiaga sana kombe lolote linalo anzia na herufi C

wamenikera wale jamaa wa tatu asee
 
  • Thanks
Reactions: PNC
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
tatizo Chile wana kamiaga sana kombe lolote linalo anzia na herufi C

wamenikera wale jamaa wa tatu asee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] leo yamekuwa hayo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Goaaaaaaaaaaaaal Ronaldo
kibiti 1 - 0 Chile
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] leo yamekuwa hayo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Goaaaaaaaaaaaaal Ronaldo
kibiti 1 - 0 Chile
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Chile tuta muonesha kaz mwakani huko Russia we mwache.
 
Huu mjadala wa mchezaji bora wa dunia hunivutia sana!
 
Siwaelewagi KABISA wanaomsifiaga Mess huu nauitaga uendawazimu.Mchezaji bora gani mechi ya UEFA anashindwa kupata ata attempt 1!? Rejea game ya Bacca vs PSG wakiwa Ufaransa.angeama basi ata ligi tukaona uwezo wake ,hana lolote .Timu yake ya taifa inawachezaji wazur sana lakini ameweka mchango gan??Ameanzia mpira Bacca mpaka leo yuko Bacca linganisha bas na C.Ronado ambae aliamia then angalia nani kavunja rekod zaidi.Alafu mludi hapa nasifa zenu.
Mkuu agiza novida
 
wakati pele anacheza kulikua na offside?????
Dah wabongo bwana mnasahau miaka ya 50 wakati pele anaanza mpira kulikuwa hakuna sub??

Mnasahau kulikuwa hakuna red card

Mnasahau kulikuwa hakuna penalty baada ya extra time???

Ila messi penati zipo red card zipo sub zipo afu ndio mnamuona jembe afu mnamdharau pele kisa offside???

Huu mjadala ushakuwa solved na wataalam wa fifa kuwa mchezaji bora wa muda wote ni pele...... goli kma lile la fainali ya 1970 dhidi ya italy ambapo timu nzima waligusa pasi na italy hawakugusa mpira mpaka jairzinho akatupia wavubi baada ya pasi ya tostao nalo mtasema kisa hamna offside

Mind you that is the best team goal and assist in the history of football

Haya mlinganishe na mesi ambaye anabebwa na masuperstar wa barca afu timu ya taifa iliyojaa wabovu hana la maana analofanya!!! pele alikuwa midfielder na alikuwa anatoa assist nyingi sana na bado anafunga magoli kwa ufupi yeye ndio aliupa mpira umaarufu kma ilivyo mohamed ali kwenyr boxing na michael jordan/magic johnson kwenye basket au schumacher kwenye grand prix au armstrong wa baiskeli

HAKUNA KAMA KING PELE
 
Mtoa mada kukujibu,

kutwaa kombe la dunia si kigezo cha kuwa bora ila kuipa timu yako kombe la dunia ni kigezo cha kuwa bora miaka yote.

maradona, pele, zidane hawakuwa tu kwenye vikosi vilivyotwaa kombe la dunia bali wao wenyewe kwa kiasi kikubwa walibadilisha matokeo na kuzipa nchi zao makombe.

messi anajua chenga, anajua pasi za magoli, anajua kufunga na mambo mengi ya mpira, ila ikifika siku ya fainali ghafla anapotea, siku ambayo kila mtu anamuangalia yeye na wanategemea maajabu yake ndio siku anayopotea,

sasa kwa style hio unaniaminishaje ni mchezaji bora wa miaka yote? kwa kuwafunga alaves na granada?

hata huo mwaka ambao walifika fainali kombe la dunia messi hajafunga wala kutoa pasi ya goli kwenye hatua za mtoano, aliwaonea tu kwenye makundi.

wakati zidane anawavuruga vibaya sana brazili pale 1998 na kutwaa ubingwa, pele ndio kabisa kabeba mara 3 na akifunga magoli muhimu kila stage. maradona nae chenga zake zilikuwa ni siku muhimu alikuwa anahakikisha anafanya mambo makubwa pale timu inapo muhitaji.

Argentina wenyewe bado hawasemi messi ni bora kuliko maradona sembuse Dunia?
Tatizo hilo la kuchukua kombe la dunia mnaliangalia kiblack and white. Kwamba usipochukua basi hukufanya kitu. Mnasahau kuwa Messi kaifikisha timu yake fainali, pia kachukua uchezaji bora wa kombe la dunia. hayo ni mafanikio makubwa sana kwa kombe linalocgezwa kila baada ya miaka minne.
 
Tatizo hilo la kuchukua kombe la dunia mnaliangalia kiblack and white. Kwamba usipochukua basi hukufanya kitu. Mnasahau kuwa Messi kaifikisha timu yake fainali, pia kachukua uchezaji bora wa kombe la dunia. hayo ni mafanikio makubwa sana kwa kombe linalocgezwa kila baada ya miaka minne.
fainali ipi mkuu nikumbushe? fainali ya kombe la dunia ni messi aliewapeleka? au nikukumbushe mechi za mtoano?

-round ya 16
argentina walimfunga uswisi 1-0, goli dakika za mwishooo mfungaji di maria

-robo fainali
argentina alipata tena ushindi mwembamba wa goli 1 kwa bila mfungaji akiwa higuain

-nusu fainali
dhidi ya uholanzi wakatoka bila kufungana, mechi ikaamuliwa kwa penalty na argentina akaingia fainali kwa matuta.

-fainali
wakapoteza moja bila kwa ujerumani goli akifunga gotze.

haya niambie mkuu mchezaji hatua zote za mtoano hata kigoli kimoja cha kubahatisha hana unaniconvice vipi kawapeleka fainali?

alivionea tu vi nchi vidogo vidogo makundi akavitandika goli 4 ila mtoano alikuwa anatembea tembea tu kama kawaida yake akikutana na timu kubwa zenye defense nzuri, refer juve, psg (kimpambe), chelsea, rubin kazan etc
 
Kikweli katika soka namba 1 itabaki kuwa pelle
Sijaona hata anaekaribia nusu yake
 
Back
Top Bottom