Kudoba wepo baaah
Senior Member
- May 12, 2024
- 155
- 461
Utakuwa ulizivua mwenyewe kwasababu ya joto kaliUnaamka baada ya kulala fofofo unaziona boxer yako na t.shirt vileee pale!
Hii ina maana gani wakuu mbona maisha yanakuwa magumu hivi?!!!!!!!!!
Weka camera,nyi ndo mnafanya vitendo mkiwa usingiziniUnaamka baada ya kulala fofofo unaziona boxer yako na t.shirt vileee pale!
Hii ina maana gani wakuu mbona maisha yanakuwa magumu hivi?!!!!!!!!!
Labda alikunywa pombe kaliWeka camera,nyi ndo mnafanya vitendo mkiwa usingizini
Upo mkoa gani tujue kwanza. Km ni rukwa tufunge mjadalaUnaamka baada ya kulala fofofo unaziona boxer yako na t.shirt vileee pale!
Hii ina maana gani wakuu mbona maisha yanakuwa magumu hivi?!!!!!!!!!