Hivi kula nyama ina tatizo gani kiafya?

Hivi kula nyama ina tatizo gani kiafya?

Hoaxer

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2022
Posts
2,726
Reaction score
6,852
Ndugu zangu madaktari, nyama Ina tatizo gani? Sijawahi kusikia daktari akimshauri mgonjwa ale nyama kwa wingi.

Huwa wanatuambia kula mboga nyingi, au kunywa maji mengi au matunda mengi. Wengine wanaendaga mbele zaidi na kutuambia tusile nyama badala yake tule maharagwe.

Hivi utamu wa nyama hususan nyama choma madaktari hawaijui?
 
Nyama ni burudani tu maana hakuna kiumbe duniani anaekula nyama akawa na afya njema angalia chui, fisi, Simba, paka na binadamu linganisha na twiga, tembo, ng'ombe, mbuzi n.k.

Ukila nyama unakua ni second consumer yaani mlaji wa pili. Hii inamaanisha kuwa viinilishe vipo Kwa wingi kwenye mimea kwahiyo mnyama akila anapata viinilishe na akichinjwa mlaji anaekula nyama anakula viinilishe vya mimea vilivyo kwenye nyama ambavyo lazima vitakua vichache.

Hivyo daktari atashauri mboga na matunda Ili mgonjwa apate viinilishe Moja Kwa Moja.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Niliwahi kumuona daktari mmoja anamshauri jamaaa yangu anaumwa kisukari kuwa azidishe kula nyama sana.

Akamwambia ukiwa na sukari unakuwa na upungufu wa protini so kama unaweza kula nyama we kula nyingi na sukari haitokusumbua.

Basi yule jamaa yangu anasema inafanya kazi sana na nyama anaitandika so mchezo.Yule daktari alimwambia Kuna vitu katika udaktari Kuna vitu vingi vimefichwa
 
Ndugu zangu madaktari, nyama Ina tatizo gani? Sijawahi kusikia daktari akimshauri mgonjwa ale nyama kwa wingi. Huwa wanatuambia kula mboga nyingi, au kunywa maji mengi au matunda mengi. Wengine wanaendaga mbele zaidi na kutuambia tusile nyama badala yake tule maharagwe. Hivi utamu wa nyama hususan nyama choma madaktari hawaijui?
Kama nyama ni tiba mbona mwili wako mwenyewe ni nyama tosha, Dawa ni lazima iwe tofauti na kinachotibiwa, miili yetu imejengeka katika hali ya "animal proteins" sasa tunapougua dawa haiwezi kuwa animal proteins bali lazima iwe ni kitu kingine kinyume chake.

Hizo ni fikra zangu, niporadhi kusahihishwa.
 
🙄🙄🙄🙄😅😅😅 ama kweli watz tunashida
 
Nyama ni burudani tu maana hakuna kiumbe duniani anaekula nyama akawa na afya njema angalia chui, fisi, Simba, paka na binadamu linganisha na twiga, tembo, ng'ombe, mbuzi n.k...
You have a point. Thanks
 
Kama nyama ni tiba mbona mwili wako mwenyewe ni nyama tosha, Dawa ni lazima iwe tofauti na kinachotibiwa, miili yetu imejengeka katika hali ya "animal proteins" sasa tunapougua dawa haiwezi kuwa animal proteins bali lazima iwe ni kitu kingine kinyume chake.

Hizo ni fikra zangu, niporadhi kusahihishwa.
Mtu mwenye kisukari type 2 akila nyama na akapunguza carbs anapona moja kwa moja, maelezo yake ni marefu ila kama una bando cheki documentary inaitwa fat fiction
 
Back
Top Bottom