gody_emily_mahenge
Member
- Sep 2, 2016
- 59
- 21
Haaa haaa we mkolofiBig Brother atasema Bill Gate amemcopy yeye ndiye aliyeanza.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Maharage ndio mboga ya Taifa ikisimangwa ni issue...aliebuni iliwe shuleni alicheza kweli maana yenyewe ikikatiwa kitunguu bila mafuta inaliwa tu bila shida, ikikosewa kuungwa inaliwa pia na ikiungwa kitaalamu hapo ndo balaa kama ulikuwa unakula sahani moja basi utaongeza ya pili
Kujishusha anakoongelea ni kuwa na hao binadamu wenzie, haihusiani na chakula.Hivi kula wali maharage ni kujishusha, huyu lemutuz sijui yupoje. Kwa hiyo na yeye ni tajiri na hakustahili kula maharage ama.
Wakati Lemutuz analazimisha kupata followers, bill gates yeye ana 30k followers.
Hahahahaha!Huyu mzee miaka zaid ya 59 lakin mambo yake ni ujinga mtupu , Mzee malecela bora bao la huyu angekojoa tu nje sio kwa utahira huu alio nao
Shangaa na wwkatika hiyo picha,chakula anachokula Le mutuz ndio hadhi,sasa kajishushaje hapo
Hajakosea chchte ktka maneno yakeHivi kula wali maharage ni kujishusha, huyu lemutuz sijui yupoje. Kwa hiyo na yeye ni tajiri na hakustahili kula maharage ama.
Wakati Lemutuz analazimisha kupata followers, bill gates yeye ana 30k followers.
Hivi kula wali maharage ni kujishusha, huyu lemutuz sijui yupoje. Kwa hiyo na yeye ni tajiri na hakustahili kula maharage ama.
Wakati Lemutuz analazimisha kupata followers, bill gates yeye ana 30k followers.
kazaliwa 1961 ila anajifanyaga bado yanki. siku moja insta alisema eti miaka ya 1980s alikuwa anasoma primary school.
Le Shokoshugizzz u kno.View attachment 566022
- Batann jana na le mbebezzz Mwarabu Rangi ya Mtume Super Mtindizzzzz hahahahahaha le kura maisha, vijana tafuteni wabebezz wazuri mle maisha ama sivyo mtajaza hii mitandao na kulia lia mpaka mnakufwa mazafantazzz hahahahahaha U know
le Mutuz
Wewe kama (ke) fresh lakini kama ni (me) napata wasiwasi kauli zako za kikekike mfano ...sijui yupoje... Wanaume wa kweli hawajilegezi kihivyo komaa mtoto wa kiume acha kushinda na watoto wa kike jaribu kuwa na kampan vijana wenzako wa kiume ufundishwe maisha kidogo na utapunguza kulegealegea kama masistaduuHivi kula wali maharage ni kujishusha, huyu lemutuz sijui yupoje. Kwa hiyo na yeye ni tajiri na hakustahili kula maharage ama.
Wakati Lemutuz analazimisha kupata followers, bill gates yeye ana 30k followers.
Wewe kama (ke) fresh lakini kama ni (me) napata wasiwasi kauli zako za kikekike mfano ...sijui yupoje... Wanaume wa kweli hawajilegezi kihivyo komaa mtoto wa kiume acha kushinda na watoto wa kike jaribu kuwa na kampan vijana wenzako wa kiume ufundishwe maisha kidogo na utapunguza kulegealegea kama masistaduu
Nenda ruvuma kule wali wa buku mpka unabakiza kna mbga za majani nyama 2 maharage na maji ya kunywa hhhh nilishangaa snaBongo hatari, muda huu tu Wali & maharage vimepanda bei zaidi hitelini & migahawani.... nilikuwa nakula kwa migahawani kwa shiling 1500, leo nimekuta 4000 kisa billgate
Sent using Jamii Forums mobile app
Teh teh sisee. Le Downtowner u kno.View attachment 566028
- Relaxing at my home jana Downtown U know hahahahahaha poleni sana vijana wa kiume mnalala macho kulilia wanaume huku JF hahahahaha mnatisha sana U know
le Mutuz
mkuu le baharia ,mimi ni follower wako IG ,mbna kila siku unaweka pic uko kwako ila hujawahi ku upload ya mwanao ? I know hukai nao bt hawaji kukutembeleaga ? Em tumuone mwanaoView attachment 566029
- Relaxing at home jana, sasa wewe mtoto wa kiume unahangaika kujaza bando kufuatilia maisha ya wanaume huku JF mbona huzuni sana kwa wazazi wako, unadhani hawa wabebez wanaweza kukubali kichwa nazi kama chako mwanaume mzima unahangaika na wanaume huku JF? hahahahahahahhaha
le Mutuz
Brother namjibu huyo mtoa post mwenye tabia za kike sio weweView attachment 566029
- Relaxing at home jana, sasa wewe mtoto wa kiume unahangaika kujaza bando kufuatilia maisha ya wanaume huku JF mbona huzuni sana kwa wazazi wako, unadhani hawa wabebez wanaweza kukubali kichwa nazi kama chako mwanaume mzima unahangaika na wanaume huku JF? hahahahahahahhaha
le Mutuz