Hivi kumbe kuna maisha mengine yanaendelea huko Usingizini? Inashangaza sana

Hivi kumbe kuna maisha mengine yanaendelea huko Usingizini? Inashangaza sana

Kujichua ni hatari sana kiroho unakua unashiriki na jini ktk umbo la nyoka, mbwa. Lengo kuu ni kuchukua kuchukua nyota yako, kuchukua uzao wako, kuchukua mbegu zako ambazo ni malighafi kwa Kazi za kichawi, umeshawahi pia jiuliza baada ya uzinzi guest hizo mbegu ulizoacha kwenye dustin zinaenda fanyiwa nini? Wamiliki wengi wa guest ni ajenti.
Mikosi, mabalaa, laana na magonjwa yanapokuandama anga njia zao. Kulala na kahaba au wanaume/wanawake hovyo hovyo ni hatari sana kiroho. Kifua cha kahaba ni lango la kuzimu.
 
Kila siku huwa nawaza sana hili suala!

Nalala nahisi maisha yamesimama mpaka pale ntakapoamka kumbe wapi[emoji28][emoji28]

Nimejikuta ndotoni nina mwanamke nisiemjua, nimeshiriki nae mapenzi nikamaliza na nikaendelea kulala nae kitandani.

Huyu mwanamke alikuwa amenikatalia lakini nimalazimisha mpaka akatoa na nikaenda nae dry

Hakika nili enjoy sana penzi lake huko usingizini.
Umejaribu kumuuliza kama naye alishiriki na wewe tendo?
 
Kila siku huwa nawaza sana hili suala!

Nalala nahisi maisha yamesimama mpaka pale ntakapoamka kumbe wapi😅😅

Nimejikuta ndotoni nina mwanamke nisiemjua, nimeshiriki nae mapenzi nikamaliza na nikaendelea kulala nae kitandani.

Huyu mwanamke alikuwa amenikatalia lakini nimalazimisha mpaka akatoa na nikaenda nae dry

Hakika nili enjoy sana penzi lake huko usingizini.
Ungesogea mbele kidogo kutoka usingizini hadi peponi ungepata wanawake 7 badala huyo mmoja wako.
 
Bao la kujifunga(masterbation),
bao la ndotoni(wet dreams)
Bao la ushindi(hili bao mpaka ule mbususu)

All three goals have the same magnitude but different Value
 
Mzee baba angalia sana tumia kondom ao wa usingizini ni balaa .madem wa usiku acha kuzembea
 
Back
Top Bottom