Hivi kumbe uwanja wa Mkwakwani ni wa CCM?

Hivi kumbe uwanja wa Mkwakwani ni wa CCM?

Dah nimeshtushwa sana nilipokuwa naangalia mechi za ngao ya jamii kuona nembo ya CCM pale uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Sikuwahi kujua ule uwanja unamilikiwa na chama. Kwa hiyo maboresho yote yale ya taa na nyasi yanafanywa na nani?

Jana tena nimeshtuka kumsikia Mkuu wa mkoa wa Morogoro alipokuwa anaongelea kuhamisha mechi ya leo ya Simba na Mtibwa uende uwanja wa Jamhuri akauita "CCM Jamhuri", hili nalo nilikuwa sijui kabisa. Uwanja wa Manungu ni moja ya viwanja vyenye pitch bora kuliko vyote Tanzania.

Nafikiri tunapojadili nini kinakwamisha maendeleo ya michezo nchini, hili nalo la kuangalia.
Kwan hizo stadiums zilijengwa na ccmu?
 
Dah nimeshtushwa sana nilipokuwa naangalia mechi za ngao ya jamii kuona nembo ya CCM pale uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Sikuwahi kujua ule uwanja unamilikiwa na chama. Kwa hiyo maboresho yote yale ya taa na nyasi yanafanywa na nani?

Jana tena nimeshtuka kumsikia Mkuu wa mkoa wa Morogoro alipokuwa anaongelea kuhamisha mechi ya leo ya Simba na Mtibwa uende uwanja wa Jamhuri akauita "CCM Jamhuri", hili nalo nilikuwa sijui kabisa. Uwanja wa Manungu ni moja ya viwanja vyenye pitch bora kuliko vyote Tanzania.

Nafikiri tunapojadili nini kinakwamisha maendeleo ya michezo nchini, hili nalo la kuangalia.
Ukitoa uwanja wa Taifa viwanja vyote CCM imejimilikisha
 
Mkuu unaleta ubishani usio na maana. Maneno niliyosema ni haya "Uwanja wa Manungu ni moja ya viwanja vyenye pitch bora kuliko vyote Tanzania". Nikisema "ni moja ya" ina maana hiyo hiyo na kusema "miongoni".
Neno " kuliko" linaua hiyo "moja ya " it means hakuna kinachozid bali yawezekana kipo kinacholingana nacho
 
Huwa na waza ikitokea upinzani wamechukua nchi hivi viwanja itakuaje,sielewagi kabisa Sisiem yangu walipata wapi pesa kuwa na viwanja vyotee hivii.Hope patachimbikaa!
 
Hawa wakola walipaswa wanyang'anywe hivi viwanja hawajui thamani yake hata kidogo, hivi walipewa na nani hivyo viwanja 🤔🤔
 
Dah nimeshtushwa sana nilipokuwa naangalia mechi za ngao ya jamii kuona nembo ya CCM pale uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Sikuwahi kujua ule uwanja unamilikiwa na chama. Kwa hiyo maboresho yote yale ya taa na nyasi yanafanywa na nani?

Jana tena nimeshtuka kumsikia Mkuu wa mkoa wa Morogoro alipokuwa anaongelea kuhamisha mechi ya leo ya Simba na Mtibwa uende uwanja wa Jamhuri akauita "CCM Jamhuri", hili nalo nilikuwa sijui kabisa. Uwanja wa Manungu ni moja ya viwanja vyenye pitch bora kuliko vyote Tanzania.

Nafikiri tunapojadili nini kinakwamisha maendeleo ya michezo nchini, hili nalo la kuangalia.
Walijiwahi ila kiuhalisia vilitakiwa viwe vya umma.,
 
Ni kwamba kama Nyerere angechukua nchi leo, mali nyingi za wananchi (viwanja kila mkoa) angevitaifisha kutoka kwa huyu Myonyaji Mamboleo
 
Uwanja Wa Jamhuri Dodoma
Uwanja Wa Jamhuri Morogoro
Uwanja Wa Sheikh Amri Abeid
Uwanja Wa Sokoine
Uwanja Wa Ccm Kirumba

Ni Vingi Sana
 
Back
Top Bottom