Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpira hautembei kabisa .😅Halafu unaenda kwa kudundadunda
Kwan hizo stadiums zilijengwa na ccmu?Dah nimeshtushwa sana nilipokuwa naangalia mechi za ngao ya jamii kuona nembo ya CCM pale uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Sikuwahi kujua ule uwanja unamilikiwa na chama. Kwa hiyo maboresho yote yale ya taa na nyasi yanafanywa na nani?
Jana tena nimeshtuka kumsikia Mkuu wa mkoa wa Morogoro alipokuwa anaongelea kuhamisha mechi ya leo ya Simba na Mtibwa uende uwanja wa Jamhuri akauita "CCM Jamhuri", hili nalo nilikuwa sijui kabisa. Uwanja wa Manungu ni moja ya viwanja vyenye pitch bora kuliko vyote Tanzania.
Nafikiri tunapojadili nini kinakwamisha maendeleo ya michezo nchini, hili nalo la kuangalia.
Ukitoa uwanja wa Taifa viwanja vyote CCM imejimilikishaDah nimeshtushwa sana nilipokuwa naangalia mechi za ngao ya jamii kuona nembo ya CCM pale uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Sikuwahi kujua ule uwanja unamilikiwa na chama. Kwa hiyo maboresho yote yale ya taa na nyasi yanafanywa na nani?
Jana tena nimeshtuka kumsikia Mkuu wa mkoa wa Morogoro alipokuwa anaongelea kuhamisha mechi ya leo ya Simba na Mtibwa uende uwanja wa Jamhuri akauita "CCM Jamhuri", hili nalo nilikuwa sijui kabisa. Uwanja wa Manungu ni moja ya viwanja vyenye pitch bora kuliko vyote Tanzania.
Nafikiri tunapojadili nini kinakwamisha maendeleo ya michezo nchini, hili nalo la kuangalia.
CCM huwa inabeba usishangae hata stand ya Magufuli baadae watasema lilikuwa eneo la CCMHuu uwanja kabla ya kuitwa Mkwakwani ulikuwa unaitwa Municipal Stadium ukiwa unamilikiwa na Municipal ya mji wa Tanga. CCM ni watu wa chupli chupli tu
Walijenga lin? Kwa kutumia ela ambazo chanzo cha mapato kilikuwa kipi?Chama kipate mapato
Neno " kuliko" linaua hiyo "moja ya " it means hakuna kinachozid bali yawezekana kipo kinacholingana nachoMkuu unaleta ubishani usio na maana. Maneno niliyosema ni haya "Uwanja wa Manungu ni moja ya viwanja vyenye pitch bora kuliko vyote Tanzania". Nikisema "ni moja ya" ina maana hiyo hiyo na kusema "miongoni".
Walijeng lin kwa kutumia pesa kias gan?Kuna tatizo gani
Bora na ww umegundua hiloZile taa sijui za disco mule ndani kuna vivuli kama vibwengo yaani hamna mzuka na nyasi mpira hautembei ,unapigwa kwa kasi ila unaenda taratibu sikuelewa kabisa hayo maboresho..
Sasa mkuu wa mkoa na masuala ya TFF ni wapi na wapi?Jana tena nimeshtuka kumsikia Mkuu wa mkoa wa Morogoro alipokuwa anaongelea kuhamisha mechi ya leo ya Simba na Mtibwa uende uwanja wa Jamhuri
Walijiwahi ila kiuhalisia vilitakiwa viwe vya umma.,Dah nimeshtushwa sana nilipokuwa naangalia mechi za ngao ya jamii kuona nembo ya CCM pale uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Sikuwahi kujua ule uwanja unamilikiwa na chama. Kwa hiyo maboresho yote yale ya taa na nyasi yanafanywa na nani?
Jana tena nimeshtuka kumsikia Mkuu wa mkoa wa Morogoro alipokuwa anaongelea kuhamisha mechi ya leo ya Simba na Mtibwa uende uwanja wa Jamhuri akauita "CCM Jamhuri", hili nalo nilikuwa sijui kabisa. Uwanja wa Manungu ni moja ya viwanja vyenye pitch bora kuliko vyote Tanzania.
Nafikiri tunapojadili nini kinakwamisha maendeleo ya michezo nchini, hili nalo la kuangalia.
Hapana bado unaweza usiingie mfano kuna Ule wa Ihefu.....nilikunukuu vyema maana ulitumia neno 'kuliko'
Lakini kwa kuwa umesahihisha kwa kusema miongoni mwa top 4 hapa nakubaliana na wewe
Kweli ni uongo mtakatifu, ile pitch kwa macho ni inavutia sana ila ingia uwanjani sasa, mbaya zaidi wamekuwa wakiumwagia maji mengi mnoo hasa game kubwa hizi zinapokwenda kuchezewa paleunaposema Manungu ina pitch bora kuliko viwanja vyote tz nakataa