Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Uwanja waliochezea Simba na Yanga ni wa kisasa kuliko hata Taifa pale. Nimeona Digital Billboards kama ulaya hadi nikashangaa hivi yule meneja wa Uwanja wa Taifa alikuwa haoni hilo kwenye viwanja vya ulaya?
Yani hadi meneja wa kiwanja cha Tanga huko anaweza kuweka digital advertising boards kiwanjani. Yeye na mapato yote kashindwaje
Yani hadi meneja wa kiwanja cha Tanga huko anaweza kuweka digital advertising boards kiwanjani. Yeye na mapato yote kashindwaje