Hivi Kumbe yawezekana wote wanaotajwa asiwepo hata mmoja kuwa Rais wa Tanzania 2025/2035

Afadhali hata Ka naibu waziri cha habari Juliana shonza na nina habari yumo humu mwambieni huyo demu namtamanigi sanaa anitafute +751116500 😝😝😝
Hahaha
 
Afadhali hata Ka naibu waziri cha habari Juliana shonza na nina habari yumo humu mwambieni huyo demu namtamanigi sanaa anitafute +751116500 😝😝😝
..πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ njoo inbox nikupe namba yake
 
tulia akcson akiwa rais mimi nahama nchi,huyo mama hana hata busara akili zake ni sawa na za makonda
 
but 2025 rais lazima awe muislam kati ya makamba au dr.mwiny! but itategemeana na upepo kama 2020 mwinyi atapelekwa kuwa raisi wa zanzibar basi makamba ana nafasi ya kuongoza
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hapo kwa tulia sasa dooh
 
Wee vipi mkuu wakati mama samiha atakuwa Rais kabla 2020 kwa siku 90 nakuitisha uchaguzi kwa mujibu wa katiba
 
Liva anachukua uefa tena mwakani ...

Mi nipo idara nyeti ya uefa ..

Teh ...
 
Sio October 2020 maana tayari inajulikana ni Magu.
Rudia kwenye hatua za kumsaka mgombea was ccm 2025 ukijaaliwa uzima
 
Bora nchi wachukue waislam maana wana moyo wa uluma sisi wakatoriki cjui tunakwama wapi? Roho za kinaa,chuki ghiliba ata sielewi tuna tatzo gani yani kiongozi anapewa mamlaka anataka anao watawala walimie meno? Matajili waishi kama mashetani kweli? Hapana bwana nafkl twende na January makamba 2020 uzuri ametokea kagera kwa mama yake na ata gongo amewai kuuza pale kyaka japo baba yake ni mtu wa Tanga na mwislamu pure ila uyu anaweza kubalance nusu mwislamu nusu mkatoriki.
 
Ajaye ni wajina wa sasa

2025 nitagombea it doesn't matter if nina mvuto, ushawishi au la. Kitaeleweka tu.

Sasa wewe wadai wajina ndiye ajaye😎😎😎🚘
Soine yuaja!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…