Amalrik TZ
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 341
- 303
Mimi: Mambo vipi Rose?
Rose: Salama! naona leo umenikumbuka?
Mimi: Yes, upo salama?
Rose: Mhhh, baada ya muda wote huo kunikaushia leo upo na nyege zako ndo unanitafuta?, Now naendelea vyema na maisha yangu na sitaki kurudiana na wewe.
Mimi: Rose sikia, mimi sijahitaji kurudiana na wewe nimekutafuta kukujulia hali kwani sina uadui na wewe na leo nimekumbuka those memories we had those time.
Rose: Sawa bhana, Rose alikata simu yake na block nikapata.
Waungwana hivi kuna tatizo kumjulia hali Ex-wako?
Rose: Salama! naona leo umenikumbuka?
Mimi: Yes, upo salama?
Rose: Mhhh, baada ya muda wote huo kunikaushia leo upo na nyege zako ndo unanitafuta?, Now naendelea vyema na maisha yangu na sitaki kurudiana na wewe.
Mimi: Rose sikia, mimi sijahitaji kurudiana na wewe nimekutafuta kukujulia hali kwani sina uadui na wewe na leo nimekumbuka those memories we had those time.
Rose: Sawa bhana, Rose alikata simu yake na block nikapata.
Waungwana hivi kuna tatizo kumjulia hali Ex-wako?