Hivi kumpigia simu Ex wako ni kosa?

Hivi kumpigia simu Ex wako ni kosa?

Hamna cha kutuma hela wala nini
Kosa ni kumwambia huna nyege nae wala hautaki kurudiana nae umempigia tu kwa sababu zisizo na mashiko
Ungemwambia umemmiss na unajuta kumuacha angeleta mapozi mengi lakini angejiona keki mwisho kama ungetaka kuendelea mngeendelea

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Kwenye mathematics hua kuna kitu kinaitwa "theory of incompleteness" hua ina-apply pia kwenye mapenzi.

Kiufupi penzi hua haliishi kabisa, na hata wale wataalamu wa masuala ya kiroho watakubaliana nami...
Nami pia nakubaliana na wewe kwa sababu zile good time memories ukizikumbuka bado upendo kwake unakuwepo japo sio wa kimapenzi.
 
duh! Sio kweli mkuu.. mie ma Ex wote nipo nao close sana na nina heshimiana nao sana, na wamekuwa msaada kwangu hata kipindi nipo blocked unakuta namcheki anaokoa jahazi nao pia.. na tukikutana tunaongea mambo ya mazuri tu, hakuna cha good times za zamani sijui nini maana hayo ndio unakaribisha shetani
Je yeye akikuanzishia hizo habari kiujanja ujanja utamtolea nje?
 
Lipo tatizo ndiyo.

Umekuta kasichana kajanja wachaa!

Kabla haujajieleza kakakupashua, huyo mkamwana wangu yupo vizuri[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!

Ukweli ni kwamba, bila ya msukumo wa kimapenzi, na kumbukizi ya ngono uzembe, hauwezi hata siku1 kuanza kuhangaika kuunguza vocha kumpigia X wako.

Amekuwa ni ndugu yako umjulie hali?

Ujinga ujinga wa namna hiyo ndiyo huwa ni chanzo cha kufanya watu warudiane bila kujali waliachana kwa taathira kiasi gani mpaka walimwengu wanachwa vinywa wazi na kubakia tu kusema.." wapenzi wagombanapo..."!

Penzi lililofubaa lipo mfano wa uraibu wa sigara halifai kuchokozwa, likiguswa linaripuka na kuripuka!

Unaambiwa uraibu wa sigara unamtesa sana mtu anapoacha kuvuta.

Sasa kama ameshinda majaribu hayo, basi mtu huyo asije akajaribisha kuweka sigara mdomoni kamwe, akijaribu atarudi kwenye uraibu wake haraka sana, tofauti na mtu ambaye hajawahi kuvuta!

Na kwa suala la mapenzi ni hivyo, ukianza tu kumpigia simu, tayari hapo unakuwa umepata msukumo, hasa kwenu vijana, alfajiri "kitu" kinasoma hadi kinakuuma na hauna pa kushika, kwanini usimpigie simu kumbembeleza huyo x wako?

Nani anakuwa kakukataza?

Msichana mjanja kakutolea nje kakuweza kweli, mbona pole?

Lakini sasa usimkatie tamaa, kama umemmiss na unahisi kumpenda kisawa sawa, achana na hii misimu, mtokee live piga naye stori muweke mambo yenu sawa, umtangazie nia na umuoe kabisa kumkata ngebe zake!

Dah!
Ushauri wako mtamo nimecheka sana wakati nikiusoma. Thanks
 
Ex wangu aliniambia nikitaka Papuchi nimletee simu janja then tunafanya ,Mi so nilijifanya huruma huruma kwenda Lodge bila simu Alinitolea nje bila huruma nikaishia kupiga bao la mkono tu.
 
Back
Top Bottom