Ndio ni kosaMimi: Mambo vipi Rose?
Rose: Salama! naona leo umenikumbuka?
Mimi: Yes, upo salama?
Rose: Mhhh, baada ya muda wote huo kunikaushia leo upo na nyege zako ndo unanitafuta?, Now naendelea vyema na maisha yangu na sitaki kurudiana na wewe.
Mimi: Rose sikia, mimi sijahitaji kurudiana na wewe nimekutafuta kukujulia hali kwani sina uadui na wewe na leo nimekumbuka those memories we had those time.
Rose: Sawa bhana, Rose alikata simu yake na block nikapata.
Waungwana hivi kuna tatizo kumjulia hali Ex-wako?
Pole kwa wanaohangaika kurudi walipopanyeaPole sana bibie
[emoji1787][emoji1787]wacha weeee microwave mpasha viporo!!!
OkayInategemeana na aliyenaye wakati huo, koz wengine wakijua fulani ni x na amekuta umewasiliana naye ndo mwisho hapo hapo hakuna hata maswali
Kupigiana simu ndo mwanzo wa kurudisha mahusianoSwala sio kupigiwa, kesi ntaifungua wakitaka kurudisha uhusiano
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Huku kuwasiliana na ma X kumeshaharibu ndo nyingi sana, kina Dada wakiwa wahanga wakubwaSwali la msingi sana hili, hakuna kitu inakata-stimu kuona mtu wako yupo close in any how na x wake,
Unahisi kama wanakuchora hivi