Hivi kumpigia simu Ex wako ni kosa?

Inategemea Na x wako Na mliachana vip
Kwenye kurudiana haina cha kuachana vipi.

Haujasikia juzi huko India, kijana alimmwagia tindikali mpenzi wake, kamharibu kabisa sura na akafungwa.

Alipotoka jela akaja akamuoa huyo huyo aliyemlemaza, msichana alipokubali kuolewa na huyo katili, wazazi wake walisusia ndoa hiyo kwa hasira.

Cha muhimu ni kutotafutana, ama kama alivyofanya huyo msichana kublokiana ili kuzuia kuanza mbwembwe na kudanganyana kwenye masimu na mwisho kurudiana.
 
Kama mmeachana vizuri salama sio mbaya na kama mpo matured, maana sio kila mahusiano yadumu mahusiano mengine ni darasa
 
Upuuzi tu kuwa na namba za ex wako kama lengo lilikuw mapenzi na sasa hakuna mapenzi sasa salamu za nini kama sio upopoma!
duh! Sio kweli mkuu.. mie ma Ex wote nipo nao close sana na nina heshimiana nao sana, na wamekuwa msaada kwangu hata kipindi nipo blocked unakuta namcheki anaokoa jahazi nao pia.. na tukikutana tunaongea mambo ya mazuri tu, hakuna cha good times za zamani sijui nini maana hayo ndio unakaribisha shetani
 
We jombaa ukute manzi ulimuacha kwa matusi na tashtiti na kumringishia pisi mpya mkapotezeana kibabe.

Af ghafla unajitia kumpigia simu out of the blues unategemea nini yani?
 
Kuachana sio vita na mara nyingi kuonesha ukomavu hutakiwi kuweka bifu na x wako sababu ipo siku mtahitajiana kwa namna moja ama nyengine. Labda huyo X awe mshamba wa maisha.
Hapa nimemaka na mood kishenzi na EX wangu mmoja, leo lazima nitoke nae out.. nime miss tabasamu lake na macho yake legevu.. acha nianze mpanga akitoka kazini
 
Mpange tu wala haina shida hasa kwa sie tunao date na mademu wenye roho za kitasha huwa hamna beefs.
😁😁😁 kwanza hata sio kumpanga, namuambia leo tukutane, utasikia sawa papa in A voice, on time.. alafu hapa nagundua ma Ex zangu karibia 99.9% majina yao yanaanza na herufi A. 😬😬
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…