Hivi kumpigia simu Ex wako ni kosa?

Hamna cha kutuma hela wala nini
Kosa ni kumwambia huna nyege nae wala hautaki kurudiana nae umempigia tu kwa sababu zisizo na mashiko
Ungemwambia umemmiss na unajuta kumuacha angeleta mapozi mengi lakini angejiona keki mwisho kama ungetaka kuendelea mngeendelea

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Kwenye mathematics hua kuna kitu kinaitwa "theory of incompleteness" hua ina-apply pia kwenye mapenzi.

Kiufupi penzi hua haliishi kabisa, na hata wale wataalamu wa masuala ya kiroho watakubaliana nami...
Nami pia nakubaliana na wewe kwa sababu zile good time memories ukizikumbuka bado upendo kwake unakuwepo japo sio wa kimapenzi.
 
Je yeye akikuanzishia hizo habari kiujanja ujanja utamtolea nje?
 
Ushauri wako mtamo nimecheka sana wakati nikiusoma. Thanks
 
Ex wangu aliniambia nikitaka Papuchi nimletee simu janja then tunafanya ,Mi so nilijifanya huruma huruma kwenda Lodge bila simu Alinitolea nje bila huruma nikaishia kupiga bao la mkono tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…