Michelle98
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 673
- 2,066
Hamna mahala penu pa ku komenti.. subiri kwanza ukipata EX uje na ushuhuda
tusio na maex tukomenti wap!? π€¨
[emoji1787]Ex wangu aliniambia nikitaka Papuchi nimletee simu chanja theni tunafanya ,Mi so nilijifanya huruma huruma kwenda Lodge bila simu Alinitolea nje bila huruma nikaishia kupiga bao la mkono tu.
Swali la msingi sana hili, hakuna kitu inakata-stimu kuona mtu wako yupo close in any how na x wake,Mfano, ukiwa umeoa utaona Ni sawa mkeo kupigiwa simu na X wake?
Hata ukimkuta BIKRA but unaona anahangaika na last lover wake lzm upate shaka
Cheers [emoji1635] first
tusio na maex tukomenti wap!? [emoji2955]
hisia hadiΓWe unafikiri jamaa yake mpya akiwaona mnavyochati atajisikiaje?
Acha kumuumiza jamaa yake mpya, kwa kumfanya awe na hisia hadi kwa Rose
Kijana isije ikawa umemchanganya na wangu maana initial yake ni A kama wakwako haoπππ kwanza hata sio kumpanga, namuambia leo tukutane, utasikia sawa papa in A voice, on time.. alafu hapa nagundua ma Ex zangu karibia 99.9% majina yao yanaanza na herufi A. π¬π¬
Kuhitajiana kwenye nini eti Arifu?Kuachana sio vita na mara nyingi kuonesha ukomavu hutakiwi kuweka bifu na x wako sababu ipo siku mtahitajiana kwa namna moja ama nyengine. Labda huyo X awe mshamba wa maisha.
Shida na raha tuKuhitajiana kwenye nini eti Arifu?
πππ ila kwangu ni ex tu, haina shida wala hatulani.. mcheki ratiba yake ya leo jioni kama ipo tight basi ujue tutakuwa tunadekeanaKijana isije ikawa umemchanganya na wangu maana initial yake ni A kama wakwako hao
Rafiki sio vizuri, salama tu.. wengine mika na miaka ma ex fresh tu wala hamna kukumbushia..Mi sioni haja kwa kweli na kama ni hizo salamu salimia ndugu au hata wapangaji wenzio huko inatosha sababu kukaribisha vimeseji meseji mwisho wa siku uzalendo ukikushinda utaomba mkumbushie.
Bora dada wa watu kajiwahi kwamba hataki kurudiana nawe. π
Jamaa yake atajuje kama mie ni EX..? atatambulishwa tu kama kaka rafikiWe unafikiri jamaa yake mpya akiwaona mnavyochati atajisikiaje?
Acha kumuumiza jamaa yake mpya, kwa kumfanya awe na hisia hadi kwa Rose