Hivi kuna Frederic Mwakalebela wangapi nchi hii?

Hivi kuna Frederic Mwakalebela wangapi nchi hii?

Kiukweli hata mimi binafsi napata shida sana na huyu Mwakalebela wa Yanga. Baada ya kupata taarifa kuwa Mwakalebela ni mojawapo wa viongozi wa juu kabisa wa Yanga nilifurahi sana nikijua sasa ataleta changamoto mpya katika soka la Tanzania kutokana na historia yake ya kufanya kazi TFF na mtu mweledi sana Leodgar Tenga.

Nilianza kupoteza imani naye kama kiongozi mweledi pale alipoaanza kushabikia vitu vidogo kama nembo ya mdhamini na kipensi cha Zahera wakati ambapo Yanga ilikuwa inapita kipindi kigumu cha ukosefu wa fedha za kuendesha timu. Yeye kama kiongozi nilitegemea apambane na mambo makubwa ya namna ya kupata fedha za uendeshaji wa timu kwa wakati ule ambapo Yanga ilikuwa haina mdhamini.

Kwa vyovyote iwavyo Mwakalebela huyu wa sasa ndio "original" yule wa TFF ni feki na inaonekana bosi wake Leonard Tenga alikuwa anamfichia madhaifu yake mengi ya kiuongozi ambayo tunayaona leo.
Maelezo yanatosha kabisa
Hamna cha kuongezea
 
Habari za mda huu wadau wa JFsport,

Naomba anaefahamu hili suala atudadavulie kidogo kuna mwakalebela wangapi hapa Tz? Je, huyu makamu mwenyekiti hovyo wa yanga ndio yule aliekuwa kijana smart pale TFF ya mzee Tenga? Kama ndio yeye kalishwa nini, mbona kawa mpuuzi hivi?

Hivi kweli yule mwakalebela wa TFF ya Tenga angeweza kufanya yafuatayo?

1/Kukataa nembo ya mdhamini kisa rangi nyekundu
2/Kumpa millage kubwa kit supplier kuliko main sponsors
3/Kumfukuza Zahera bila sababu
4/Kuongoza kundi la usajili ovyo ovyo bila maelekezo?
5/Kujihusisha na tetesi za usajili kabla ya dirisha (kesi ya Chama)
Yule wa Tenga na huyu ni ndugu! 😀😀😀ALishindwa kura za ubunge na Pita Msigwa
 
Baada ya Mikia kumshtaki Mwakakebela, ni vyema Zeruzeru achunge mdomo wake. Muda mrefu amekuwa akiitukana Yanga akijidai ni utani wa jadi.

Sasa utani wa jadi umeisha rasmi. Aweke mpaka kati ya Haji shabiki wa mitaani na Msemaji wa Club.

Aieleze TFF majina ya ajabu anatoiita Yanga ni kauli rasmi ya Simba au ya shabiki oya oya.
 
Vyura
Mbutembute
Kwasukwasu
Utopolo
Yombayomba
Gongowazi
Wacheza mdako
Yeboyebo
Wamatopeni
Mafuriko fc

Haya nendeni mkashtaki sasa.

Baada ya Mikia kumshtaki Mwakakebela, ni vyema Zeruzeru achunge mdomo wake. Muda mrefu amekuwa akiitukana Yanga akijidai ni utani wa jadi.

Sasa utani wa jadi umeisha rasmi. Aweke mpaka kati ya Haji shabiki wa mitaani na Msemaji wa Club.

Aieleze TFF majina ya ajabu anatoiita Yanga ni kauli rasmi ya Simba au ya shabiki oya oya.
 
Habari za mda huu wadau wa JFsport,

Naomba anaefahamu hili suala atudadavulie kidogo kuna mwakalebela wangapi hapa Tz? Je, huyu makamu mwenyekiti hovyo wa yanga ndio yule aliekuwa kijana smart pale TFF ya mzee Tenga? Kama ndio yeye kalishwa nini, mbona kawa mpuuzi hivi?

Hivi kweli yule mwakalebela wa TFF ya Tenga angeweza kufanya yafuatayo?

1/Kukataa nembo ya mdhamini kisa rangi nyekundu
2/Kumpa millage kubwa kit supplier kuliko main sponsors
3/Kumfukuza Zahera bila sababu
4/Kuongoza kundi la usajili ovyo ovyo bila maelekezo?
5/Kujihusisha na tetesi za usajili kabla ya dirisha (kesi ya Chama)
Apart from kosa aliofanya juzi sikujua haya mengine brother lakini ni dhahiri bado tupo nyuma sana from the modern game

Kosa pekee iliofanyika ni kwamba amecorrect hili kosa mwenyewe Yanga ilibidi itoe statement kuhusu kiongozi wao kama ingemtetea au ingemuadhibu lakini imewapa rungu majirani wao who will do anything kuivuruga and washaanza kufanya hivyo
Kama Nike au Adidas au timu kubwa zinawakingia kifua wafanyakazi wake ilibidi Yanga wastep up na kumsaidia Mwakalebela kwa sasa ni him against the world wachache wanamuunga mkono wengi wanamkosoa udhaifu mkubwa umeoneshwa na Yanga na sio Mwakalebela

Ila Mzee wetu kwa muda aliodumu kama kiongozi wa mpira katika sehemu tofauti hili lilikua sio kosa la kufanya wewe maneno yanakufunga vibaya mno


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Apart from kosa aliofanya juzi sikujua haya mengine brother lakini ni dhahiri bado tupo nyuma sana from the modern game

Kosa pekee iliofanyika ni kwamba amecorrect hili kosa mwenyewe Yanga ilibidi itoe statement kuhusu kiongozi wao kama ingemtetea au ingemuadhibu lakini imewapa rungu majirani wao who will do anything kuivuruga and washaanza kufanya hivyo
Kama Nike au Adidas au timu kubwa zinawakingia kifua wafanyakazi wake ilibidi Yanga wastep up na kumsaidia Mwakalebela kwa sasa ni him against the world wachache wanamuunga mkono wengi wanamkosoa udhaifu mkubwa umeoneshwa na Yanga na sio Mwakalebela

Ila Mzee wetu kwa muda aliodumu kama kiongozi wa mpira katika sehemu tofauti hili lilikua sio kosa la kufanya wewe maneno yanakufunga vibaya mno


Sent using Jamii Forums mobile app
Shabiki mstaraabu wa jangwani
 
Back
Top Bottom