Hivi Kuna haja ya kumwambia mpenzi wako kuwa upo off mood bila ya kumpa sababu yoyote ya msingi?

Hivi Kuna haja ya kumwambia mpenzi wako kuwa upo off mood bila ya kumpa sababu yoyote ya msingi?

Malovee

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2020
Posts
202
Reaction score
324
Hii tabia naona inataka. Kuota mizizi kwa mpenzi wangu, Mara nyingi ninapompigia kumjulia Hali, maana tunaishi mikoa tofauti amekuwa akinijulia kuwa yupo off mood,bila ya kunioa sababu ya msingi.

Nashindwa kumuelewa kwamba anakuwa anamaaniaha Nini?kwamba nisimsemeshe au ni Nini? mwenye uelewa naomba anijuze tafadhali kabla sijachukua maamuzi magumu.

Kwa sababu sioni Kama Kuna umuhimu wa kumwambia mpenzi wako upo off mood bila kumwambia sababu iliyokufanya hivyo.

Au nikawaida ya wanaume wote?
 
Ushauri wa Bure

Usitumie nguvu au juhudi yoyote kujua sababu,mpe nafasi wewe Fanya Yako na dalili za mwanzo za kukuchoka kishazionesha ukitaka dalili nyingine we endelea kujifanya unataka kujua mood yake au kutaka sababu ya hiyo "Mood"hakika matokea yake hutoyafurahia.
 
Mi kwa ninayempenda ntajitahid sana hata kama sipo ktk mood nisimuonyeshe ila ikiwa ni jambo gumu limenikumba ntamwambia leo ni hivi na hivii nimevurugwa, hata michepuko yangu huwa naiambia ile tu yenye mawazo chanya,

Uyo we usitake kujuwa kafanyaje we tulia nawe mwambie upo off mood,
 
Ushauri wa Bure

Usitumie nguvu au juhudi yoyote kujua sababu,mpe nafasi wewe Fanya Yako na dalili za mwanzo za kukuchoka kishazionesha ukitaka dalili nyingine we endelea kujifanya unataka kujua mood yake au kutaka sababu ya hiyo "Mood"hakika matokea yake hutoyafurahia.
Okay 👍
 
Mi kwa ninayempenda ntajitahid sana hata kama sipo ktk mood nisimuonyeshe ila ikiwa ni jambo gumu limenikumba ntamwambia leo ni hivi na hivii nimevurugwa, hata michepuko yangu huwa naiambia ile tu yenye mawazo chanya,

Uyo we usitake kujuwa kafanyaje we tulia nawe mwambie upo off mood,
Thanks 👍
 
Hii tabia naona inataka. Kuota mizizi kwa mpenzi wangu, Mara nyingi ninapompigia kumjulia Hali, maana tunaishi mikoa tofauti amekuwa akinijulia kuwa yupo off mood,bila ya kunioa sababu ya msingi.

Nashindwa kumuelewa kwamba anakuwa anamaaniaha Nini?kwamba nisimsemeshe au ni Nini? mwenye uelewa naomba anijuze tafadhali kabla sijachukua maamuzi magumu.

Kwa sababu sioni Kama Kuna umuhimu wa kumwambia mpenzi wako upo off mood bila kumwambia sababu iliyokufanya hivyo.

Au nikawaida ya wanaume wote?
Nishamjua vizuri tu, pole sana tayari ameshakuchoka
 
Hiyo hunikutaga mimi kabisa. Kuna wakati unakua hauna mood ya kufanya chochote hata kuongea na umpendae inakua shida.

Hii mimi hunitokea hasa nikiwa sina ela halafu kila mipango ninayoseti inagoma, then ghafla unaskia simu inaita unapokea kadem kanajibebisha aaaarghh inakata stim.. Tena usiombe ktk kujibebisha huko aniandalie mazingira ya kunipiga mzinga ndio kabisaaaa namkatia na simu.. Sio kama simpendi nakua nampenda ila ndio hivyo tena nakua "off mood"

So siwezi kumshangaa huyo anaefanya hivyo huenda tunaendana tabia. Pengine anapitia crisis kubwa ya kiuchumi au kijamii na haoni umuhimu wa kukushirikisha huenda ameshaona huna uwezo wa kutatua hizo changamoto anazopitia ndio maana anaona kama unamletea gozi gozi tu unavyompigia pigia ovyo. Mpe mda akikaa sawa atakutafuta.
 
Hii tabia naona inataka. Kuota mizizi kwa mpenzi wangu, Mara nyingi ninapompigia kumjulia Hali, maana tunaishi mikoa tofauti amekuwa akinijulia kuwa yupo off mood,bila ya kunioa sababu ya msingi.

Nashindwa kumuelewa kwamba anakuwa anamaaniaha Nini?kwamba nisimsemeshe au ni Nini? mwenye uelewa naomba anijuze tafadhali kabla sijachukua maamuzi magumu.

Kwa sababu sioni Kama Kuna umuhimu wa kumwambia mpenzi wako upo off mood bila kumwambia sababu iliyokufanya hivyo.

Au nikawaida ya wanau
 
Back
Top Bottom