kevin strootman
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 1,114
- 1,872
Sidhani kama Kuna kazi rahisi na nyepesi kufanya kama hii kua mchambuzi WA michezo hapa Tanzania, Yani unapata hela kwenye maredio kiurahisi sana! Ishu kubwa uweze kua mnafiki tu, unaenda na upepo, ujue kusifia na kupondea tuu, na meneno mawili matatu ya kingereza kwenye football!
Yani sometime mchezaji kama onana unampoonda! Kua hajui kitu simba wamepigwa! Siku akifanya vizuri mechi 1 unaanza kumfananisha na Ronaldo na kusema ni mchezaji ambae hajawahi kutokea hapa Tanzania wakati mwanzo ulimuita mchezaji WA mafungu.
Ndioooo, kipa kama Lakred akija kwenye anga zako unampoonda sana, unasema wamepigwa pale na meneno mengi sana kua ana mengi sana ya kujifunza Kwa Aishi, siku akianza kuonyesha performance yake unasema kua hakujawahi kutokea kipa mwenye uwezi kama Lakred nchi hii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yani hakuna kazi inayonichekesha nchi hii kama uchambuzi WA SOKA ni kazi rahisi sana inahitaji kupandisha tuu kiwango chako cha unafiki
Kuna yule alikua anajidai anajua sana masuala ya Uendeshaji WA timu na Football economy, Yani maelezo yake akiyatoa unaona kabisa akipewa timu awe kiongozi inachukua club bingwa, haya Sasa kapewa Uongozi WA timu Fulani Sasa hivi vipigo tuu Iko mkiani
Yani sometime mchezaji kama onana unampoonda! Kua hajui kitu simba wamepigwa! Siku akifanya vizuri mechi 1 unaanza kumfananisha na Ronaldo na kusema ni mchezaji ambae hajawahi kutokea hapa Tanzania wakati mwanzo ulimuita mchezaji WA mafungu.
Ndioooo, kipa kama Lakred akija kwenye anga zako unampoonda sana, unasema wamepigwa pale na meneno mengi sana kua ana mengi sana ya kujifunza Kwa Aishi, siku akianza kuonyesha performance yake unasema kua hakujawahi kutokea kipa mwenye uwezi kama Lakred nchi hii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yani hakuna kazi inayonichekesha nchi hii kama uchambuzi WA SOKA ni kazi rahisi sana inahitaji kupandisha tuu kiwango chako cha unafiki
Kuna yule alikua anajidai anajua sana masuala ya Uendeshaji WA timu na Football economy, Yani maelezo yake akiyatoa unaona kabisa akipewa timu awe kiongozi inachukua club bingwa, haya Sasa kapewa Uongozi WA timu Fulani Sasa hivi vipigo tuu Iko mkiani