Hivi kuna kipi zaidi Kati ya Babalevo na Diamond?

Hivi kuna kipi zaidi Kati ya Babalevo na Diamond?

Mungu anisamehe ila hawa watu wa kigoma mi naonaga kama akili zao haziko sawa sawa. Sijui ndio yale mabomu ya Burundi au nini.. kuna mwingine yupo kule clouds dah mambo ya leo anaongea kesho ya kesho anaongea keshokutwa!
Wewe na baba levo nani mweye akili?familia tu inakushinda kuiendesha unaakili wewe?tafuta pesa achana watu wa kigoma.
 
Mungu anisamehe ila hawa watu wa kigoma mi naonaga kama akili zao haziko sawa sawa. Sijui ndio yale mabomu ya Burundi au nini.. kuna mwingine yupo kule clouds dah mambo ya leo anaongea kesho ya kesho anaongea keshokutwa!
Kigoma Shida Sana, Huyo Wa CloudsNi Yupi?
 
Wewe na baba levo nani mweye akili?familia tu inakushinda kuiendesha unaakili wewe?tafuta pesa achana watu wa kigoma.
Yemwa Wabhonye Wewe!!😁😆😂🤣😃😃
 
Nadhani sisi tusitake sana kujua yeye anaendesha vipi maisha yake. Maana leo hii akifulia tutakua wa kwanza kuanza kumcheka. Kama hicho anachofanya kinamsaidia kwa njia moja ama nyingine mi naona ni sawa tu aendelee maana sisi wote tunatafuta maisha.
 
Nataka nimnunulie gari Mama Gaude wangu na yeye awe anakwenda sokoni kununua viazi mbatata na nyanya kwa motokaa. Na vile tunavyoishi uswahilini, Mama Gau atakuwa matawi ya juu kuliko mawingu, huu ndio mwaka wake, Uswazi watakoma 😂
Yaani we acha tu
Mama Gau alikuwa mchpk wangu nilipokuwa Tanga kipindi hicho. Ya kale...
 
Wewe na baba levo nani mweye akili?familia tu inakushinda kuiendesha unaakili wewe?tafuta pesa achana watu wa kigoma.

Mnashauriwa kila siku msile dagaa wakavu na mihogo hamsikii.. ona sasa mnazaa kina mwijaku kazi kusifia wanaume wenzao tu mjini hapa!
 
Mungu anisamehe ila hawa watu wa kigoma mi naonaga kama akili zao haziko sawa sawa. Sijui ndio yale mabomu ya Burundi au nini.. kuna mwingine yupo kule clouds dah mambo ya leo anaongea kesho ya kesho anaongea keshokutwa!

Comment zako huwa zinanichekeshaa
 
Mnashauriwa kila siku msile dagaa wakavu na mihogo hamsikii.. ona sasa mnazaa kina mwijaku kazi kusifia wanaume wenzao tu mjini hapa!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nadhani sisi tusitake sana kujua yeye anaendesha vipi maisha yake. Maana leo hii akifulia tutakua wa kwanza kuanza kumcheka. Kama hicho anachofanya kinamsaidia kwa njia moja ama nyingine mi naona ni sawa tu aendelee maana sisi wote tunatafuta maisha.
Uswahilini hakuna maisha ya mtu binafsi
 
Back
Top Bottom