Hivi Kuna league ya mpira duniani inayopita vibe la bundesliga kwa upande wa mashabiki

Hivi Kuna league ya mpira duniani inayopita vibe la bundesliga kwa upande wa mashabiki

uhurumoja

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2014
Posts
9,616
Reaction score
22,521
Hawa watu kwao mpira ni kama Nini sijui maana Kila mechi viwanja vinafurika tena pomoni hata kama kombe halipatikani.
Nadhani mpira una tafsiri nyingine Ujerumani ,lazima siku Moja niwe pale Signal iduna kuangalia mechi Moja.
 
Hawa watu kwao mpira ni kama Nini sijui maana Kila mechi viwanja vinafurika tena pomoni hata kama kombe halipatikani.
Nadhani mpira una tafsiri nyingine Ujerumani ,lazima siku Moja niwe pale Signal iduna kuangalia mechi Moja.
Mkuu ukiongelea Signal Iduna ni moja kati maskani poa yenye mashabiki wenye vibe duniani. Wanashika top 3 duniani kwa mashabiki wenye vibe muda wote wa mechi
 
Hawa watu kwao mpira ni kama Nini sijui maana Kila mechi viwanja vinafurika tena pomoni hata kama kombe halipatikani.
Nadhani mpira una tafsiri nyingine Ujerumani ,lazima siku Moja niwe pale Signal iduna kuangalia mechi Moja.
Ujerumani ni hatari, vi full house na vibe mwanzo mwisho. Tanzania tutafika huko miaka 100 ijayo
 
Capitalism imefanya kazi..

Professional football...

Professional football ni matokeo ya capitalism/ubepari.

Watu baada ya kazii nzito, wanapata buradani/shangwee kutoka kwa professional player's.
 
Ya bundesliga mashabiki wanavibee la kutoshaa..


Mimi Huwa na vutiwa na ile staili ya ushangiliaji wa mashabiki wanarukaruka kwa shangwee huku wameupa mgongo uwanja..
 
Bongo shangwe ni mpaka goli lipatikane, la sivyo ni kimyaaa au mavuvuzela yasiyo na mpangilio wowote.

Wenzetu utadhani wanafundishwa namna ya kushangilia, inavutia kwakweli, jinsi wanavyoimba nyimbo zao, style zao za ushangiliaji almost mashabiki wote wa timu moja wanashangilia hivyo, wanapiga makofi hata yanayosikika vyedi mchezaji akifanya vizuri, wengine husikama kabisa mchezaji akiwa anatoka kuonesha heshima kwake hata kama wamefungwa.
 
Hawa watu kwao mpira ni kama Nini sijui maana Kila mechi viwanja vinafurika tena pomoni hata kama kombe halipatikani.
Nadhani mpira una tafsiri nyingine Ujerumani ,lazima siku Moja niwe pale Signal iduna kuangalia mechi Moja.
Lile vibe la iduna park nalielewa sana
 
Ulaya michezo ni sehemu ya utamaduni wao.
Na Wana utekeleza vema tena sio soka pekee Kila mchezo huwa unajaa hatari
Hawa sijui wanachukuliaje michezo
Nusu final ya Crdb Azam na coastal pale mwanza Bora ingechezwa dar au Tanga Ile ni wastage of time and resources imetokea pale kirumba
 
Mkuu ukiongelea Signal Iduna ni moja kati maskani poa yenye mashabiki wenye vibe duniani. Wanashika top 3 duniani kwa mashabiki wenye vibe muda wote wa mechi
Definitely Ile atmosphere ya uwanjani yani unaona dk 90 ni kama wanazulumiwa pale inatakiwa game iwe angalau 120
Fifa waliangalie hili
 
Ujerumani ni hatari, vi full house na vibe mwanzo mwisho. Tanzania tutafika huko miaka 100 ijayo
Hatufiki
Mashabiki hadi waone team inataka kushuka daraja ndio wanajaa uwanjani wakiongozwa na mkuu wa wilaya au mkoa!(Unafiki)
 
Capitalism imefanya kazi..

Professional football...

Professional football ni matokeo ya capitalism/ubepari.

Watu baada ya kazii nzito, wanapata buradani/shangwee kutoka kwa professional player's.
Lakini miundombinu nayo inachangia viwanja vinavutia
Na Kila game hupewa umuhimu
Kitu kingine standard life watu Wana kipato na michezo inathaminiwa
 
Ya bundesliga mashabiki wanavibee la kutoshaa..


Mimi Huwa na vutiwa na ile staili ya ushangiliaji wa mashabiki wanarukaruka kwa shangwee huku wameupa mgongo uwanja..
Taifa ukishangilia kwa kusimamia utapigwa chupa za maji hadi ukae
Yani wote inatakiwa mkae muanze kukosoa hadi kamera iwafikie ndio mnaonesha vidole vitatu na kupiga piga mkono kuonesha mda bado upo hata kama ni dk ya 88
Wengine hushika shavu kuonesha game ngumu basi ushangiliaji huishia hapo
 
Huko watu wanajua utofauti wa kutafuta hela na maendeleo.

Na utamaduni umejengwa wa kupenda na kuheshimu mambo kuanzia madogo mpaka makubwa.

Sasa huku kwetu michezo unaambiwa mambo ya Kijinga kijinga.
 
Bongo shangwe ni mpaka goli lipatikane, la sivyo ni kimyaaa au mavuvuzela yasiyo na mpangilio wowote.

Wenzetu utadhani wanafundishwa namna ya kushangilia, inavutia kwakweli, jinsi wanavyoimba nyimbo zao, style zao za ushangiliaji almost mashabiki wote wa timu moja wanashangilia hivyo, wanapiga makofi hata yanayosikika vyedi mchezaji akifanya vizuri, wengine husikama kabisa mchezaji akiwa anatoka kuonesha heshima kwake hata kama wamefungwa.
Uko sahihi lakini pia fun engagement ni kubwa sana utaona wachezaji baada ya mechi wanashikana mikono na kuwasogelea mashabiki na kukaa angalau kwa dk 8 wanawaacha wapige picha na kufurahia Kisha wanaondoka
Njoo hapa kwa kina Mzize hadi mechi Ile ya ubingwa huoni watu wakiwaendea mashabiki
Huoni wakiona onesha umoja na mashabiki
Airport mkijaribu kuwakaribi wanavuta pama zaidi na kuingia kwenye hire bus
Nguvu zinaisha inabidi wafundishwe sana
 
Back
Top Bottom