uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
- Thread starter
- #21
Wazungu nidham ya mambo wametupita mbali sana na heshima sema si huwa tunaona ni wastaraabu ila ukweli jamaa wanaheshimu sana vipaji na kuvipa kipaumbeleHuko watu wanajua utofauti wa kutafuta hela na maendeleo.
Na utamaduni umejengwa wa kupenda na kuheshimu mambo kuanzia madogo mpaka makubwa.
Sasa huku kwetu michezo unaambiwa mambo ya Kijinga kijinga.
Na hapo kwenye utafutaji wa hela na kuzitumia wako vizuri