Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Mafundi wengi huko wamebobea 2 stroke engine, 4 stroke engine zinawasumbua.Unaweza fungua gereji yako binafsi na ukapiga pesa mpaka basi. Wapo ila hawajakidhi mahitaji
Envirude 250 au 300 Horsepower hizi ndio za kuumiza kichwa sana.Unaweza fungua gereji yako binafsi na ukapiga pesa mpaka basi. Wapo ila hawajakidhi mahitaji
Hii mbinu madereva ofisini kwetu walikua wanaitumia sana inapotokea logistic manager akijifanya mnoko,jamaa wanamimina tu mafuta ya breki kwny tank la mafuta.chumvi pia ikiwekwa kupitia njia ya oil ,huwa inakula bearing za mikono ya piston na clen shaft, ni hatari sana si kitu cha kuzungumzia
kwa kuongezea hata mafuta ya break yakiwekwa kwenye tank ya mafuta(kwa diesel) gari huwa inakula mafuta kuliko kawaida ni balaa
4 stroke kwa ziwa vic ni chache sana. ℅ 80 ya engine huku ni kutoka yamaha company. Na asilimia 90 ni 15 horsepower. Hivyo karibu zote ni 2 strokeMafundi wengi huko wamebobea 2 stroke engine, 4 stroke engine zinawasumbua.
Kila siku nasogeza siku za kuja kufanya ufundi boti huko.
Uko sahihi kabisa. Kumbe unafatilia sana hizo outboard engine.4 stroke kwa ziwa vic ni chache sana. ℅ 80 ya engine huku ni kutoka yamaha company. Na asilimia 90 ni 15 horsepower. Hivyo karibu zote ni 2 stroke
Hata kwenye ya mbao, nakumbuka huko kuna kabla ya kufika Muleba kuna Jamaa kafunga engine ya Land Rover kwenye mtumbwi wa mbao.Horsepower200 utaitumia kwenye boat la chuma ama fible? Kama nilambao tu haitowezekana
Watu wa majahazi wanafunga engine za Caterpiller D8 kwenye majahazi ya mbao. Ishu kubwa ni sehemu ya engine mount kuwa imara na mbao za kingo kuwa imara kuzuia mitetemo ambayo itafanya chombo kipate udhaifu.Horsepower200 utaitumia kwenye boat la chuma ama fible? Kama nilambao tu haitowezekana
Hata kwenye ya mbao, nakumbuka huko kuna kabla ya kufika Muleba kuna Jamaa kafunga engine ya Land Rover kwenye mtumbwi wa mbao.
Pia kuna mwingine nadhani ni Geita yeye ni fundi amefunga engine ya Corolla ila gearbox kaweka ya marine kwenye mtumbwi wa mbao.
Kama wa Thailand mwaka 2016 walifunga engine ya 1jz kwenye boti la mbao na ikafanya vyema. Kule wenzetu wanajaribu sana washafunga engine za Scania,Yanmar na Isuzu kisha wanashiriki kwenye Boat show.
Watu wa majahazi wanafunga engine za Caterpiller D8 kwenye majahazi ya mbao. Ishu kubwa ni sehemu ya engine mount kuwa imara na mbao za kingo kuwa imara kuzuia mitetemo ambayo itafanya chombo kipate udhaifu.
Mmetoka kwenye CHUMVI mmehamia kwenye ENGINE za boats! Pumbu zenu
Kama ni fible utakuwa unaifanyia nini? Maana zinakula mafuta si kawaida. Usishangae kutoka mwanza kwenda bukoba ikatumia lita400Kwenye fiber boat?
Naongezea kidogo
Uharibifu huwa Mkubwa kwenye mashimo ya piston yaani cylinder matundu haya hutanuka kutokana na msuguano wa vyuma na chumvi
Uunguaji wa mafuta pia huadhilika kwa sababu hewa na mafuta huchanganyika na kemikali za chumvi hivyo engine hushindwa kuzalisha nguvu ya kutosha kuendesha gari
Mfumo wa kurainisha vipuri ndani ya engine pia hupatwa na madhara kwa sababu oil huwa inachanganyika na kemikali za chumvi ambazo kikemikali huzaliwa kitu kingine kabisa
Kumbuka licha ya chumvi kuwa soluble kwenye kimiminika bado ikifika ndani ya engine hurejea kuwa insoluble hii ni kwa sababu ya joto kubwa lililopo ndani ya engine
Kumbe na wewe huko hufika. Engine za magari sijui ila engine za ma boat huwa zinakufa kabisa. Yaani haitowaka kabisa kama itamwagiwa ikiwa wazi. Huo mchezo huchezwa kwa bosi wakorofi na wanaozurumu wafanyakazi wao. Tunafanya hivi.
Unachukua lita mbili za maji ukachanganya na kilo kama tano za chumvi kisha unafunua bonet unamwaga mule kwenye brock baadae unafunika. Ni nzuri zaidi kama injini itakuwa imehifadhiwa ( haiko kikazi kwa muda huo) kisha unasepa maana wakikugundua unaweza fungwa nanga na kuzamishwa ziwani.
Naongezea kidogo
Uharibifu huwa Mkubwa kwenye mashimo ya piston yaani cylinder matundu haya hutanuka kutokana na msuguano wa vyuma na chumvi
Uunguaji wa mafuta pia huadhilika kwa sababu hewa na mafuta huchanganyika na kemikali za chumvi hivyo engine hushindwa kuzalisha nguvu ya kutosha kuendesha gari
Mfumo wa kurainisha vipuri ndani ya engine pia hupatwa na madhara kwa sababu oil huwa inachanganyika na kemikali za chumvi ambazo kikemikali huzaliwa kitu kingine kabisa
Kumbuka licha ya chumvi kuwa soluble kwenye kimiminika bado ikifika ndani ya engine hurejea kuwa insoluble hii ni kwa sababu ya joto kubwa lililopo ndani ya engine
Naongezea kidogo
Uharibifu huwa Mkubwa kwenye mashimo ya piston yaani cylinder matundu haya hutanuka kutokana na msuguano wa vyuma na chumvi
Uunguaji wa mafuta pia huadhilika kwa sababu hewa na mafuta huchanganyika na kemikali za chumvi hivyo engine hushindwa kuzalisha nguvu ya kutosha kuendesha gari
Mfumo wa kurainisha vipuri ndani ya engine pia hupatwa na madhara kwa sababu oil huwa inachanganyika na kemikali za chumvi ambazo kikemikali huzaliwa kitu kingine kabisa
Kumbuka licha ya chumvi kuwa soluble kwenye kimiminika bado ikifika ndani ya engine hurejea kuwa insoluble hii ni kwa sababu ya joto kubwa lililopo ndani ya engine