Hivi kuna mahusiano gani kati ya chumvi na engine ya gari

Hivi kuna mahusiano gani kati ya chumvi na engine ya gari

Duuu..
chumvi pia ikiwekwa kupitia njia ya oil ,huwa inakula bearing za mikono ya piston na clen shaft, ni hatari sana si kitu cha kuzungumzia
kwa kuongezea hata mafuta ya break yakiwekwa kwenye tank ya mafuta(kwa diesel) gari huwa inakula mafuta kuliko kawaida ni balaa
 
Hii mbinu madereva ofisini kwetu walikua wanaitumia sana inapotokea logistic manager akijifanya mnoko,jamaa wanamimina tu mafuta ya breki kwny tank la mafuta.

Mafuta yatalika hapo si polepole.
Usinikumbushe[emoji16]
 
Hata kwenye ya mbao, nakumbuka huko kuna kabla ya kufika Muleba kuna Jamaa kafunga engine ya Land Rover kwenye mtumbwi wa mbao.

Pia kuna mwingine nadhani ni Geita yeye ni fundi amefunga engine ya Corolla ila gearbox kaweka ya marine kwenye mtumbwi wa mbao.

Kama wa Thailand mwaka 2016 walifunga engine ya 1jz kwenye boti la mbao na ikafanya vyema. Kule wenzetu wanajaribu sana washafunga engine za Scania,Yanmar na Isuzu kisha wanashiriki kwenye Boat show.
Na wakishabuni hivyo wanaziletaa kwetu huku wanapiga hela
 
Kumbe ndo maana ukipishana nalo mlio wake sio kama wa nyingine zile special
Watu wa majahazi wanafunga engine za Caterpiller D8 kwenye majahazi ya mbao. Ishu kubwa ni sehemu ya engine mount kuwa imara na mbao za kingo kuwa imara kuzuia mitetemo ambayo itafanya chombo kipate udhaifu.
 
Asante sana doria wetu
Mara nyingi sisi patrol boat hutumia mbao za ukubwa wa 0.8 inch ama 1 inch. Hivyo engine kubwa itafanya hilo boat kushindwa kuhimili. Ila inawezekana kuwekwa kwenye boat kubwa lenye mbao zenye ukubwa(unene) zaidi ya nchi moja. Na lisiwe la kivuvi wala doria
 
Kwani hiyo chumvi muda wote huo haiyeyuki?
Nikuulize swali
Je wajua namna chumvi inavyopikwa ili itokee kuwa chumvi?
Kama hujui nikwambie kidogo wa kienyeji chumvi hupikwa ikiwa kwenye hali ya maji ambayo awali huchunywa kutoka kwenye mchanga wenye madini hayo
Sasa basi kwakuwa mwenye mafuta huwabadilika na kuwa kimiminika ikifika ndani inapikwa tena mwenye joto kubwa la engine haswa mwenye chumba cha kuunguza hewa na mafuta ambayo sasa ni hewa mafuta na chumvi matokeo yake chumvi kurudia haki yake ya kuwa solid
hata iungue vipi haiangamii ng'ooo
kumbuka theory "matter can neither be created nor destroyed"
kwahiyo haifi huendelea kula kuta za cylinder
 
Nikuulize swali
Je wajua namna chumvi inavyopikwa ili itokee kuwa chumvi?
Kama hujui nikwambie kidogo wa kienyeji chumvi hupikwa ikiwa kwenye hali ya maji ambayo awali huchunywa kutoka kwenye mchanga wenye madini hayo
Sasa basi kwakuwa mwenye mafuta huwabadilika na kuwa kimiminika ikifika ndani inapikwa tena mwenye joto kubwa la engine haswa mwenye chumba cha kuunguza hewa na mafuta ambayo sasa ni hewa mafuta na chumvi matokeo yake chumvi kurudia haki yake ya kuwa solid
hata iungue vipi haiangamii ng'ooo
kumbuka theory "matter can neither be created nor destroyed"
kwahiyo haifi huendelea kula kuta za cylinder
Maelezo mazuri
 
Vivuko vingi vina engine za 250hp kushuka chini. Hivi vivuko huwa na engine 2 kwaiyo ni 250hp×2.

Hiyo 550hp kwa kivuko utumiaji wa mafuta utakuwa ni mkubwa na gharama za uendeshaji kuwa kuwa hivyo kivuko mwisho wa siku kitafanya kazi kwa hasara.
 
Vivuko vingi vina engine za 250hp kushuka chini. Hivi vivuko huwa na engine 2 kwaiyo ni 250hp×2.

Hiyo 550hp kwa kivuko utumiaji wa mafuta utakuwa ni mkubwa na gharama za uendeshaji kuwa kuwa hivyo kivuko mwisho wa siku kitafanya kazi kwa hasara.
Ah niliikuwa sijui ila kuna mtu aliniambia kuwa mv victoria engine zake ni 550 hp×2 hivyo nikafikiri ndo mfumo. Lakini mbona 250 ni ndogo sana nikilinganisha na ukubwa wa kivuko
 
Back
Top Bottom