Hivi kuna maisha baada ya kifo?

Hivi kuna maisha baada ya kifo?

Unaweza kuthibitisha ni nini kilifanya tuwe na maisha?

Hakuna aliyefanya tuwe na maisha mpaka pale itakapo thibitika.

Zilizopo ni nadharia na speculations tu zisizo na uthibitisho.
kwahio unataka kusema maisha ww umeyapata kibahati tu.

maisha yamekuja tu into existence?. all that misteries jinsi wanyama mimea na wadudu wanavyomanuver life iwe imekuja tu.

take time and study habits mbali mbali za wanyama na wadudu all that genius master piece itokee tu from nowhere?.

mfano mimea inatumia carbon dioxide na kupitia process ya photosinthesis kuproduce chakula chake chenyewe ambacho kitumiwe na mwanadamu anayepata pia oxygen kutoka kwa mimea.

all that genious mechanism ime exist tu. kwa bahati mbaya sindio..
 
Habari wana JF,

Hivi kuna maisha baada ya kifo?
Au bado sijui maana ya kifo?
Yaani babu yangu liyemzaa bibi yangu bado anaishi baada ya kufa? Kwamba hawa waliokufa wanaishi ila waneshakufa?

Au naombeni maana ya kifo ili ning'amue huu mzozo.

(Kuna mtu kaniambia kuwa kuna maisha baada ya kufa)
Jiulize kwanza kabla hujawekwa tumboni mwa mama yako ulikuwa Wapi na ulijitambua?maana Mungu huumba roho halafu mwili.

Uthibitisho kutoka kitabu Cha Yeremia; Mungu anamwambia Yeremia nalikujuwa hata kabla hujawa tumboni mwa mama yako
 
Habari wana JF,

Hivi kuna maisha baada ya kifo?
Au bado sijui maana ya kifo?
Yaani babu yangu liyemzaa bibi yangu bado anaishi baada ya kufa? Kwamba hawa waliokufa wanaishi ila waneshakufa?

Au naombeni maana ya kifo ili ning'amue huu mzozo.

(Kuna mtu kaniambia kuwa kuna maisha baada ya kufa)
HABARI DRACE GLORY, NAKUSHUKURU SANA KWA KUULIZA SWALI HILI KWA KWELI JIBU LA SWALI HILI NDILO LITAKALOKUFANYA UJUE UISHI VIPI HAPA DUNIANI. MAJIBU MENGI YA WALIOKUJIBU HAPO JUU WAMEKOSEA NA HUTAPATA MAJIBU SAHIHI KWA MUELEKEO WA MAJIBU NILIYOYAONA BALI UTAPATA MKANGANYIKO ZAIDI.

UKWELI USIO NA SHAKA NI KUWA MAISHA BAADA YA KUFA NI JAMBO LISILOKUWA NA SHAKA YEYOTE. MAISHA HAYO BAADA YA KIFO NI BORA NA YENYE KUDUMU. HILI LINATHIBITISHWA NA KITABU KITAKATIFU CHA QURANI AMBACHO MPAKA SASA WAPINGAJI HAWAJAWEZA KUINGIZA MANENO YAO. QURANI INASEMA:
{ وَٱلۡأٓخِرَةُ خَيۡرٞ وَأَبۡقَىٰٓ }

[Surah Al-Aʿlā: 17]

Na Akhera ni bora na yenye kudumu zaidi.


IN SHAA ALLAH JIBU HILI LITAKUWA USHAHIDI SIKU YA MWISHO KUWA NIMEFIKISHA NENO LA ALLAH KWA WAJE WAKE. NAKUHUSIA HALA HALA USISIKIE MANENO YA WATU WAPOTEFU...GRACE USIJE UKAFA KABLA HUJAWA MUISLAMU.
 
kwahio unataka kusema maisha ww umeyapata kibahati tu.

maisha yamekuja tu into existence?. all that misteries jinsi wanyama mimea na wadudu wanavyomanuver life iwe imekuja tu.

take time and study habits mbali mbali za wanyama na wadudu all that genius master piece itokee tu from nowhere?.

mfano mimea inatumia carbon dioxide na kupitia process ya photosinthesis kuproduce chakula chake chenyewe ambacho kitumiwe na mwanadamu anayepata pia oxygen kutoka kwa mimea.

all that genious mechanism ime exist tu. kwa bahati mbaya sindio..
Kuna ulazima gani kwamba kila kitu kimekuja kwenye existence kupitia kitu fulani au nguvu fulani?

Je hiyo nguvu au hicho kitu kilicho leta vitu vyote into existence chenyewe kili kujaje kwenye existence?

Au chenyewe kilitokea tu kwa bahati mbaya?
 
ndugu maisha baada ya kifo yapo. kuna umilele baada ya haya maisha ya duniani binadamu huishi milele. maana binadamu ana roho ambayo haifi kinachokufa ni mwili.
umilele wa binadamu baada ya maisha hapa duniani hutegemea sana alivyoishi hapa duniani na kuna sehemu mbili tu ambazo mwanadamu anakwenda baada ya maisha hapa duniani. ni either uzima wa milele au moto wa milele.
Basi tupe tafsri ya kifo kama kuna kuishi baada yakufa,
Yaani unatuthibitishiaje kitu kinaweza kuishi halafu kimekufa?
 
Hakuna haja ya kuumiza kichwa kwa vitu kama hivi , ni swala la mda tu kama maisha yapo baada ya kufa kila mtu atapata huo uzoefu kama hakuna ni sawa pia .
Okay wewe unaunaje kuna uwezekana wa kuishi baada ya kufa? Yaani ukifa utaweza kuishi?
 
"........(Kuna mtu kaniambia kuwa kuna maisha baada ya kufa)".
Sasa wewe unaamini lipi? Kuna maisha au Hakuna maisha baada ya kifo??
Huyo mtu aliyekuambia kuna maisha baada ya kifo mng'ang'anie/mkomalie akuthibitishie hivyo.
Wewe pia waweza kujithibitishia kwa kufanya yafuatayo:-
1.Chukua bakora/fimbo kamchape babu yako au kumfokea juu ya kaburi lake halafu ulete mrejesho hapa ili na wale walio na akili/imani kama yako wajifunze.
2. Pitia maandishi vitabuni, rejea maelezo ya mdomo ya jadi (Traditional History) na mengineyo mengi kuhusu hoja hiyo halafu ujipime kama kweli woote hao walivyoamini au kusema kuna maisha baada ya kifo walikuwa hawana akili ni wajinga ila ww ndo mwenye akili.
3. Kataa kabisa hakuna maisha baada ya kifo ili uachane na mahangaiko ya kutafuta eti kama kuna maisha baada ya kifo au la na uwe huru usihangaike. Kama yapo-Yapo; kama hakuna Hakuna. Ww katafute pesa full stop.
Uko sahihi kwa jinsi ulivyoelewa maada na jinsi ulivyochangia, sasa tuambie wewe kuna kitu kinaweza kuishi baada ya kufa? Au ni sisi ndo hatujui maana ya kifo/,kufa?
 
MAISHA BAADA YA KIFO YAPO SANA KINACHOKUFA NI MWILI HUU WA NYAMA UNAOZA UDONGONI ULIKOTOKA ILA NAFSI, ROHO YAKO INAENDA KUISHI UKO ULIKOCHAGUA WAKATI UKIWA HAPA DUNIANI
Kwahyo kinachokufa ni mwili tu ndani ya mwili wangu? Unamaanisha watu waliokufa huwa wanachagua sehemu ya kwenda kuishi? Vipi wanaokufa bila kutarajia vitu ajali kuuwawa kwa risasi, wanapataga wapi mda wa kuchagua? Je hao ambao hawapati mda wakuchagua wakiwa duniani wenyewe hatima yao huwa ni ipi?
 
Ukiwa hai na ukawa umesinzia/umelala fofofo na kama hauoti ndoto yoyote muda huo, je utaweza kuhisi uwepo wowote wa maisha? Kama hauwezi kuhisi uwepo wa maisha ukiwa tu usingizini, inawezekana vipi mtu hauna pumzi (umekufa) kisha uweze kuhisi uwepo wa maisha?
Imagine [emoji849]
 
Pengine hata watoto wachanga walio tumboni huenda hawaamini kuwa kuna maisha mengine tofauti na tumboni na watakuwa wanaishi kivingine..
Wewe ulivyokuwa kichanga ulikuwa unamini kuna maisha mengine tofauti na tumboni?
 
Hakuna empirical evidence, ishi sasa na kesho ie kama unaweza kuishi vizuri now usijibane, pia kwa imani yako kama unahisi kuna maisha yajayo jiandae.

Utajisikiaje uache kujiandaa alafu unafariki unakuta kuna maisha mengine? Ha ha ha
Sasa utawezaje kufa alafu ukaishi au mimi sijui maana ya kifo?
 
Habari wana JF,

Hivi kuna maisha baada ya kifo?
Au bado sijui maana ya kifo?
Yaani babu yangu liyemzaa bibi yangu bado anaishi baada ya kufa? Kwamba hawa waliokufa wanaishi ila waneshakufa?

Au naombeni maana ya kifo ili ning'amue huu mzozo.

(Kuna mtu kaniambia kuwa kuna maisha baada ya kufa)
Hili swali laweza kujibiwa na Yesu mpakwa mafuta peke yake. Maana inasemekana yeye ndo alikufa alafu akafufuka, hivyo mtafute yeye ukimpata na jibu la swali lako utalipata.
 
Mtu asemaye kuna maisha baada ya kifo, hana tofauti na mtu asiyeelewa maana ya neno kufa.

Kwa dhana ya viumbe hai,
Kufa maana yake ni mwisho wa kiumbe hicho kuishi (mwisho wa maisha)

"Nafikiri mwili wa kiumbe hai ni sawa na kompyuta,
Kompyuta itaacha kufanya kazi pindi ambapo moja ya kifaa chake kitaharibika.

Hakuna mbingu wala maisha baada ya kuharibika kwa kompyuta hiyo.

Habari za mbingu na kuzimu ni hadithi za watu wanaoogopa giza. "
Mkuu umetoa rafsri nzuri sana ya maana ya kifo, labda kama hawakuelewa swali langu ndo wataendelea kuwaleta akina luka na Mohammed kujibu maswali ambayo sikuuliza.
 
You had no life before life but you want to have life after life in imaginary places..!!

You cannot wish for a house of gold in heaven while you have never touched gold right here on earth.

If you fail to live on earth the fantasy of heaven is an illusion.

Hakuna maisha baada ya kufa.

Ukifa unakwenda kuwa chakula cha bacteria una decompose na kuwa underground soil...
Wakibisha tunawaacha
 
Back
Top Bottom