financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Wewe huyu anataka mwenye chura. Sasa sijui ume qualify?Nnavopenda kusonga ugali, niajiri tu niwe nakusongea mkuu, uzi ufungwe mbadala wa mashine nishapatikana[emoji3]
Wasukuma ndio mashine iliyopitishwa rasmi kusonga ugali kwa miaka mingiHabari wakuu,
Hivi hamnaga machine ya kusongea ugari? Maana kwenye wali kuna rice coocker, ugari je?
Kipindi hiki cha karantini ni muhimu tukawa na vifaa muhimu kama hivi.
Shukran.
Kwani hiyo chura ndyo inashika mwiko jamani😀😀, kasema ntamfaa hivo hivo chura is nothing.
Mkuu kama hujaelewa hupaswi kuwepo hapa.Ugari ni nini mkuu?
😂😂Wasukuma ndio mashine iliyopitishwa rasmi kusonga ugali kwa miaka mingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Weeee koma chura iheshimike tafadhaliKwani hiyo chura ndyo inashika mwiko jamani[emoji3][emoji3], kasema ntamfaa hivo hivo chura is nothing.
Wazo zuri mkuu, njoo tuyajenge inbobo😂😂Nnavopenda kusonga ugali, niajiri tu niwe nakusongea mkuu, uzi ufungwe mbadala wa mashine nishapatikana😀
hio ni aina mpya ya gari mkuuUgari ni nini mkuu?
Mkuu chura na kusonga ugali vinahusiana vp?😂😂
Nakuja ila tuelewane kabisa malipo per plate😀😀Wazo zuri mkuu, njoo tuyajenge inbobo😂😂
Ni hii hapa?hio ni aina mpya ya gari mkuu
Sasa si haya yote tutayaongea huko inbobo? Hapa watu hawachelewi kupanda dau😂😂Nakuja ila tuelewane kabisa malipo per plate😀😀
Chura ni nyama nyama uzembe tu zile, usizuzuke sana, kitu flat screen mkuu kitu portable 😀Weeee koma chura iheshimike tafadhali
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Ndyo vizuri kuongelea hapa hapa huchelewi kuomba discount, na wakipanda dau naamsha utanisamehe buree😀Sasa si haya yote tutayaongea huko inbobo? Hapa watu hawachelewi kupanda dau😂😂
Haya sema mama, unataka ngapi?Ndyo vizuri kuongelea hapa hapa huchelewi kuomba discount, na wakipanda dau naamsha utanisamehe buree😀
Mweeeh!!mwanamke ndio mashine ya ugali mkuu
Habari wakuu,
Hivi hamnaga machine ya kusongea ugari? Maana kwenye wali kuna rice coocker, ugali je?
Kipindi hiki cha karantini ni muhimu tukawa na vifaa muhimu kama hivi.
Shukran.
😂😂😂acha uvivu wewe shika mwiko songa nguna iyo😂😂😂Habari wakuu,
Hivi hamnaga machine ya kusongea ugali? Maana kwenye wali kuna rice coocker, ugali je?
Kipindi hiki cha karantini ni muhimu tukawa na vifaa muhimu kama hivi.
Shukrani.
Chura ni nyama nyama uzembe tu zile, usizuzuke sana, kitu flat screen mkuu kitu portable [emoji3]