Hivi kuna mashine ya kusongea ugali?

Habari wakuu,

Hivi hamnaga machine ya kusongea ugali? Maana kwenye wali kuna rice coocker, ugali je?

Kipindi hiki cha karantini ni muhimu tukawa na vifaa muhimu kama hivi.

Shukrani.
😂😂😂acha uvivu wewe shika mwiko songa nguna iyo😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…