Hivi kuna mashine ya kusongea ugali?

Hivi kuna mashine ya kusongea ugali?

dyuteromaikota

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2013
Posts
5,929
Reaction score
8,327
Habari wakuu,

Hivi hamnaga machine ya kusongea ugali? Maana kwenye wali kuna rice coocker, ugali je?

Kipindi hiki cha karantini ni muhimu tukawa na vifaa muhimu kama hivi.

Shukrani.
 
Back
Top Bottom