dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,929
- 8,327
Habari wakuu,
Hivi hamnaga machine ya kusongea ugali? Maana kwenye wali kuna rice coocker, ugali je?
Kipindi hiki cha karantini ni muhimu tukawa na vifaa muhimu kama hivi.
Shukrani.
Hivi hamnaga machine ya kusongea ugali? Maana kwenye wali kuna rice coocker, ugali je?
Kipindi hiki cha karantini ni muhimu tukawa na vifaa muhimu kama hivi.
Shukrani.