Hivi kuna msichana Bongo anamzidi Tunda kwa uzuri??

Ndugu nielekeze hilo chimbo nije nijionee vyuma, ila nihakikishie kama wanazo chura...
Panda gari zinazoelekea Mburahati au mabibo kupitia luhanga, unaanza kituo cha kigogo police post, lakini wewe shuka kituo kinachofuata cha kigogo mwisho. Then warudi nyuma kidogo km mita 10 hivi. Inaitwa Palm View Pub au castle lite pub
 
Hahahaha hiyo nafasi haitokeagi twice in a lifetime ,pole sana ulitakiwa u act uchizi hapo hapo safari hotel ,regardless ya status yako ,macho ya watu au yupo na nani ,mimi huwa najitoa muhanga mambo mengine kwenye dunia hayajirudii
 
Huyo demu nae ni matawi?? Anafanya shughuli gani hapo mjini zaidi ya umalaya?? Matawi unawajua wewe??
Kwa hiyo tunda una mchukuliaje au kwa kuwa una muona akifanya kazi ya u video queen ukajua ana dhiki sana??
 
Hahahaha hiyo nafasi haitokeagi twice in a lifetime ,pole sana ulitakiwa u act uchizi hapo hapo safari hotel ,regardless ya status yako ,macho ya watu au yupo na nani ,mimi huwa najitoa muhanga mambo mengine kwenye dunia hayajirudii
Mkuu tatizo lilikuwa mimi ndio naingia yeye akawa anatoka.. Alafu alikuwa peke yake kapaki ndinga yake hapo nje.. Ilibidi nisimame kama bubu tu nimwangalie anavyoingia kwenye gari, akawasha akatokomea kuelekea kule AICC.. Aisee ile kashatokomea ndio fahamu zikanirudia.. Hicho kitu kinaniuma mpaka leo hii
 
Aiseee mkuu sasa kwani kuingia Safari hotel ulikua unaingia kwenye Boeing kwamba huruhusiwi kutoka ukishaingia ? Dah ila kuna vitu kweli ukiviona unashindwa kutoa realtime response ,sikulaumu sana
Plate number zilikua za wapi ?
 
Uzuri gani unauongea wa kujipodoa?? maana zaidi ya hapo sioni tofauti na wahudumu wa bar mitaani kwetu.
 
Aiseee mkuu sasa kwani kuingia Safari hotel ulikua unaingia kwenye Boeing kwamba huruhusiwi kutoka ukishaingia ? Dah ila kuna vitu kweli ukiviona unashindwa kutoa realtime response ,sikulaumu sana
Plate number zilikua za wapi ?
Yeah that's that homie.. Ila nimejiapiza ikinikuta nyingine sitafanya mzaha..

BTW hivi huyu Tunda anaweza kumfikia Viv Mrema au hata yule Lulu Mrema??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…