brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
- Thread starter
-
- #141
Kutoa kidaka au kutotoa kidaka hiyo haimpunguzii uzuri, mbona Kim Kardashian anatoa kidaka ??MZIGO HANA. Pili anavaa kikuku mean wanampakua. Wa Kawaida MNO. WAZURI HAWAJITANGAZI.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]duuh,hilo kweli tunda haswaaaaaaa,anapatikanaje huyu eti ili kama vp mshahara wangu wote uishie hapo,ila mashine yake isiwe na sigda tu,manake hukawii kusikia,ooh,GENTAMYCINE, sijui Msagasumu wamepita
Eti sigda dahduuh,hilo kweli tunda haswaaaaaaa,anapatikanaje huyu eti ili kama vp mshahara wangu wote uishie hapo,ila mashine yake isiwe na sigda tu,manake hukawii kusikia,ooh,GENTAMYCINE, sijui Msagasumu wamepita
nitumie malipo ya tangazo hili[emoji85][emoji126]Mzuri kwako wewe. Njoo Palm View Pub ipo kigogo mwisho kuna wahudumu wazuri balaa Tunda hawafikii kwa uzuri
kweli hanifikii
yeah girl..u rockkweli hanifikii
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Wa TZ kwa kujipa promo hamjambokweli hanifikii
ha haha ukisubiria utakufa bado[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Wa TZ kwa kujipa promo hamjambo
Wewe acha tu ndugu au Tabora maeneo fulani hivi wale watoto wa kiarabu waliochanganya na wabantuAende singida na kondoa kwa warangi mbona atazima sigara mamamamaeeee kuna watoto wazuuuuriiiiiii sema tu wanakosa exposure!!
Sepetu ndio galasa kabisaEe yupo wema sepetuh[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Aya mkuu nimekupataMkuu umeshoboka na huo uzur wa camera360 na make up.. Labda hujawahi kuona wazur wewe… tembea tembea , usikariri