Hivi kuna msichana Bongo anamzidi Tunda kwa uzuri??

Hivi kuna msichana Bongo anamzidi Tunda kwa uzuri??

Why unawaita cheap?? Nimekwambia kuhusu uzuri uliosema wa Tunda, ndio nikakwambia njoo Palm View Pub ipo kigogo mwisho kuna wahudumu wazuri kuliko Tunda. Kama unabisha njoo maeneo hayo jioni. Maana muda wa jioni km Leo nitakuwa hapo nikipata Castle Lite Baridiiiii...
mkuu we n mmilki wa io Pub au?km umteja nami umenipata Mkuu.
Nakuja

Sent from my HUAWEI Y360-U61 using JamiiForums mobile app
 
mnampaisha tu lakini lv yake ndogo sana bongo kuna mademu wakali sio hao wauza sura wanaotumiwa na kila mtu
 
Wife immaterial, siwapendi hao, hata kukanda maandazi hawajui. They depend on the power they have btn their legs.
"Sasa hao ndio wanao takiwa, mwanamke inabidi akae tu hatakiwi apate tabu, kama ni kazi mtafutie house girl,

Hujaoa mke ili akufulie kwa kuwa yeye sio dobi au akupikie kwa kuwa yeye sio mpishi "
Sio maneno yangu , bali maneno ya sheikh Kipozeo
 
Back
Top Bottom