Hivi kuna mtu aliwahi kufanya ligi na Brevis AI 300 na akaishinda kweli? Mbona vigari vinakuwa uji sana mbele ya huyu mnyama?

Yaani ki glanza chenye turbo ambayo ina produce 140 hp kama sikosei wewe unasema ili iwe fair una engine yenye 200 hp bila turbo bado uweke turbo ndio iwe fair fight? Sasa ushakuwa insecured hafla 😀
Sasa hiyo glanza mi najua jinsi wanavyofanya hizo tuning? Sasa kama ni fair basi asiweke turbo maana uzito wa body la gari huendana na engine, engine kubwa means body zito pia, so ifahamike tu kwamba hako ni katoy mbele ya mnyama, basi...
 
Sasa hiyo glanza mi najua jinsi wanavyofanya hizo tuning? Sasa kama ni fair basi asiweke turbo maana uzito wa body la gari huendana na engine, engine kubwa means body zito pia, so ifahamike tu kwamba hako ni katoy mbele ya mnyama, basi...
Hio ni stock from factory mzee, nimekwambia ina 138hp na turbo yake wewe una 200hp unaogopa nini sasa apo na unajiamini kuwa brevis anakimbia? hako ka engine ni kadogo tu 4 cylinders. wewe hilo body zito na engine nzito ndio vinakuponza kwa gari kama glanza au Altezza 3sge lkn hujui tu.
 
Sawa sifungi Turbo basi, ila moto uko pale pale!
 
Unataka kusema gari yenye tani moja na horse power 197 inaweza kuiacha gari ya tani 2 yenye hp 270 from zero...
Tani 1 na hp 197😛WR=

197hp/2205lb=0.09hp/lb

Tani 2 na hp 270😛WR=

270hp/4409lb=0.06hp/lb

So hapo ni 0.09hp/lb vs 0.06hp/lb unaweza kujionea mwenyewe boss.

Provided other factors are kept constant.
 
Hakuna, maana ilikuwa inaonekana mpya kabisa, japo ilikuwa giza.., tena injini inaonekana ilikuwa mnato sana, ilikuwa inapiga miluzi hatari.., haikuwa mbovu hata kidogo ile...!!
Mkuu brevis yako ni slow car tu miongoni mwa gari zenye mbio..Hata siku moja huwezi kushindana na Wrx ambayo haina tatizo lolote la kiufundi utaachwa mbali mno, usiione tena hiyo gari maishani mwako..
 
Brevis nayo ni gar ya kuanzishia uzi kweli??

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee unaongea
Duuu naona wewe jamaa hujui kitu chochote kuhusu magari sidhani kama umeshawahi kuendesha brevis ukaona Moto wake hii ni zaidi ya mark X na athlete
 
Mkuu brevis yako ni slow car tu miongoni mwa gari zenye mbio..Hata siku moja huwezi kushindana na Wrx ambayo haina tatizo lolote la kiufundi utaachwa mbali mno, usiione tena hiyo gari maishani mwako..
Aisee hakuna unachojua kwenye magari hata kidogo sometimes uliza Kwanza kabla ya kukomenti vitu usivyojua
 
Gari ina speed 180kmph halafu unatupigia kelele hapa kwa hiyo unataka kusema hiyo 180kmph iliwa barabarani inakuwa 300kmph
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] sawa bwana, Watu kama nyie ni wakuwapuuza kabisa
Baada ya kupuuza toa majibu Kati ya foresta na brevis ni Ipi iko vizuri kwenye performance? Na Mimi nitakuja na facts zangu tuone yupi anafaa kupuuzwa
 
Baada ya kupuuza toa majibu Kati ya foresta na brevis ni Ipi iko vizuri kwenye performance? Na Mimi nitakuja na facts zangu tuone yupi anafaa kupuuzwa
Wewe ulivyo kiazi umeona wapi nimeitaja foresta?? Au umedandia tu.. haya leta fact zako kuhusu hiyo brevis yako then na mimi nilete za Subaru WRX kavu tena siyo STI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…