Hivi kuna Mtu Mwingine mwenye Bahati Mbaya na Sifa za Kiasili za Makabila ya Watani zake Kama Mimi?

Hivi kuna Mtu Mwingine mwenye Bahati Mbaya na Sifa za Kiasili za Makabila ya Watani zake Kama Mimi?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Wahaya: Wapenda Tamu zote za Kibaiolojia

2. Wanyiramba: Viburi sana

3. Waha: Wabishi tukuka

4. Wanyaturu: Wezi mno

5. Warangi: Wachawi

6. Wakerewe: Walafi

7. Wanyamwezi: Washamba sana

Mzanaki Mimi nina bahati mbaya nao mno hawa Watani zangu kwani Wazanaki ndiyo Kabila pekee nchini Tanzania lisilo na Kasoro yoyote ile.
 
Back
Top Bottom