Hio tarehe 7 ndo walitangaza itakaa vizuri auKuweni na subra kufikia tar 7 system itakuwa vizuri ukianza kulazimisha sasahivi unaweza jikuta unafeli kupata mkopo maana system itakusajili ila kule details zako zinaweza zisiwe kamili maana umefosi mtandao
Wee umeweza kuvuka kipengere cha guarantor vizur kabisa?Mimi nimekamilisha lakini kila nikisubmit form no2 na 5 cha ajabu wananiambia incomplete wakati kila kipengele nimejaza vizuri
hadi uwapigieNimekosea kuweka picha, kila nikijaribu kuibadili mfumo hauruhusu kubadili picha
Naona Leo mfumo angalau upo vizuriMimi nimefika hapa na inaniandikia ivo na Kila kitu kipo sawa sjui shida ni nini naomba msaada pia
Mmi hapo kwenye Guarantor ndiyo bado changamotoMimi nimefika hapa na inaniandikia ivo na Kila kitu kipo sawa sjui shida ni nini naomba msaada pia
Ndio lakin badoNaona Leo mfumo angalau upo vizuri
Mimi nimefanikiwa kuvuka shida kwenye kupreview tuuMmi hapo kwenye Guarantor ndiyo bado changamoto
Ahsante sana nami umenisaidiaImage Resizer | Biteable Video Maker
Biteable has dozens of video tools to help you add captions, add a voice-over, convert a video to gif, extract audio from a video and more.biteable.com
Tumia hii link kuweka 120 kwa 150
🙏hadi uwapigie
Jamani anayeweza kusaidia atusaidie, tupo wengi. Binafisi nimekwamba kwenye guarantor details.... mfumo unaload tu masaa yote!Imebidi nije hapa huu mtandao wa Loan Board hauko vizuri hasa hasa kwenye kipengele cha Preliminary information hakuna chochote unachoweza kujaza na uka submit na ukakiona kwenye preview. picha hata useti kwa kiwango kipi 120x150px haionyeshi wala haikai kwenye mfumo.
Tunaomba kujua hapa nina group la waombaji hakuna aliyefanikiwa kujaza hizi form.
Shukran.
Nichek kesho nitakusaidiaJamani anayeweza kusaidia atusaidie, tupo wengi. Binafisi nimekwamba kwenye guarantor details.... mfumo unaload tu masaa yote!
Nipe username yako na password nikusaidieJamani anayeweza kusaidia atusaidie, tupo wengi. Binafisi nimekwamba kwenye guarantor details.... mfumo unaload tu masaa yote!