[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Haki nitafurahi kumpata huyo mwl.wa mapishi maana naaibikaga mwenzio pale ninapoweka sukari na ndimu kwenye wali huku nikiunga nazi kwenye supu [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Usisahau wa MIBAGA na MIPIZA ni wa huko usikokuita mtaani... wa ready made food za mahoteli makubwa makubwa.. as a result wanakuwa hawajui kupika...Hapa JF kila mwanamke ni msomi, anakazi nzuri, kitanadani ni mzuri, anajua kupika, anaishi ushuani, anavaa designer gear, anaendesha gari nzuri.
Hao wasiojua kupika utakutana nao mtaani.
We acha tu Ice, mtu unamaliza kidato cha 6 hata nguo ya ndani unafuliwa utajulia wapi kupika?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ila jaman kwa bongo hii ni very rare mtoto wa kike kuwa hapiki.
Ulikulia shule zile za FM academia eeh?
We endelea kudhani... Watu wanapika matapishi aiseee...Nadhani hakuna, ila wapo waliochelewa kujua.
Daaah! You need to know that, wakwe gani hapa bongo watakubali mwanao aoe ntu aso pika.We acha tu Ice, mtu unamaliza kidato cha 6 hata nguo ya ndani unafuliwa utajulia wapi kupika?
Mbaya zaidi ninapoishi pana baba nt'ilie mmoja anapika chakula kitamu balaa hivyo anazidi kunilemaza [emoji12] Namsubiri huyo jamaa yako aje anipige darasa
Hakika u rafiki mwema sio kama Kichwa Kichafu kanitupia swali la kijembe badala ya kunishauri.Daaah! You need to know that, wakwe gani hapa bongo watakubali mwanao aoe ntu aso pika.
Ngona niitafute namba yule bwana ni mwalim wa mapishi VETA chang'ombe.
Niki ipata ntakupa.
Ujue fasta kupika
HahahaHakika u rafiki mwema sio kama Kichwa Kichafu kanitupia swali la kijembe badala ya kunishauri.
Ukipenda boga unapenda na ua lake. Utanivumilia wakati ukinifundisha.[emoji85]Hahaha
Mi mwenyewe nimekushangaa ujue. Nime imagen kwa kwa mfano labda nimekuoa kwa hiyo tutakuwa tunaenda kula kwa baba ntilie au mimi ndio nipike.
Hakuna mwanaume boya wa aina hii haoa bongo. Labda yurope utapata.
Ngoja by kesho ntakuwa nimepata namba zake.
HahahahaUkipenda boga unapenda na ua lake. Utanivumilia wakati ukinifundisha.[emoji85]
(usihangaike rafiki, tunachangamsha genge tu)[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] asante kwa kuguswa na hiliHahahaha
Asee kutopika siyo kitu cha kuvumiliana kabsaa.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
(Haya ila kama ni kweli fanya mipango fasta)
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hayaaaa.[emoji23] [emoji23] [emoji23] asante kwa kuguswa na hili
[emoji23] [emoji23] [emoji23] we mwenyewe ukute chakula pekee unachoweza kupika ni chai. Kwa kisingizio kuwa utakuwa unapikiwa na mkeo [emoji12] [emoji12] [emoji12][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hayaaaa.
Ngoja nipike chai ninywe now
Mimi hata ningekuwa sjui kupika hata maji tuu. for me haina shida.kwa sbabu kupika si jukumu la baba.[emoji23] [emoji23] [emoji23] we mwenyewe ukute chakula pekee unachoweza kupika ni chai. Kwa kisingizio kuwa utakuwa unapikiwa na mkeo [emoji12] [emoji12] [emoji12]
OkayMimi hata ningekuwa sjui kupika hata maji tuu. for me haina shida.kwa sbabu kupika si jukumu la baba.
Sasa mke wangu atakauwa ana fanyan nn kama mi najua?
Kazi yangu ni kutafuta hela yeye kazi yake apike.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Okay
Na wewe hujui?Wapo wengi tu.
Najua na napenda mnooo kupikaNa wewe hujui?
Kwani ex new bae? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Basi nikikuona nacheka tuuu