Hivi Kuna Mwanamke Ambaye Hajui Kupika?

Si tunahire mdada atupikie?
Aaah! Kuna kipindi wadada huwa wana umwa au wanakuwa hawapo lets say kaenda kwao. Au ndio tunatafuta mwingine. Hatuez kula hotelini daily au hatuwez sema mi nipike daily. Nikianza kupika bas bora wewe ukatafute hela niwe tu baba wa nyumbani maana hamna namna.
Pia its romantic kula chakula cha mkeo.
 
Kadri siku zinavyoenda wanawake hasa walioolewa wasiojua kupika ndo wanaongezeka, kwa sababu wanawaachia wasichana wa nyumbani kazi ya kupika. Wao na mabinti zao wako busy.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…