Shoga ake kumbe we mpishi mzuri eeh!!!Wapo tena wengi,watoto wa kishua waliosoma boarding kuanzia nursery,kwao kuna dada wa kazi hata akirudi likizo mtoto hakanyagi jikoni,hawa mpaka wanakua watu wazima hata kushika mwiko ni mtihani kwao
hahahaNina dadaangu huyo, akikupikia ukala lazima ushindie toilet!
hahaha aiseee [emoji23][emoji28]Basi ukiwa na constipation mtafute
[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]Basi ukiwa na constipation mtafute
Kuna mawili, either azidishe chumvi au asiweke kabisa.Anajaza mafuta au anazidisha chumvi?
Kwenye kuzidisha chumvi mm ni namba1 kabisaaa, cwez pika watu wasilalamike
Imefika muda nikachukia kupika kabisaaa yaan cpiki ckuiz labda nijipikie mwenyewe
Ingekua hivyo mtaa mzima wangejuta[emoji23] mi na ww hatuna tofauti,nikipika watu wasilalamike labda wanisitiri tu[emoji23]Shoga ake kumbe we mpishi mzuri eeh!!!
Ila kupika nako nikipaji atiii wengine hatuna
Na haupendi kutaka kujuaMm mwenyewe cjui kupika,nikiona vitunguu tu nackia kulia
Weeeh sio woteKuna kupika na kuvuruga..wengi humu wanavuruga
Yaah..wengine mafund sana,haswa waliolelewa na babaWeeeh sio wote
Nimeshachukia kupika hata kujifunza tena cwez labda baadae huko nikiolewa sasa ndo nikashinde YouTube nijifunzeNa haupendi kutaka kujua
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna mawili, either azidishe chumvi au asiweke kabisa.
Yani anakuja kushtuka mezani eti nilisahau kutia chumvi!
Mafuta kibao, akiivisha ni kwa neema za mwenyezi Mungu. Akipika wali unaweza hisi ni makande. Akipika ugali ni bora mkoroge uji mnywe!
Alafu ndio binti wa pekee, wengine wote vidume!
Inabidi tu tuingie jikoni asee!
Si kweliYaah..wengine mafund sana,haswa waliolelewa na baba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nkajua mpishi hodari unatoa wali umechambuka hatari mwehIngekua hivyo mtaa mzima wangejuta[emoji23] mi na ww hatuna tofauti,nikipika watu wasilalamike labda wanisitiri tu[emoji23]
Nakuombea upate moyo wa kujifunza kupika usichukie hivyo mwanamke anatakiwa ajue kupika hata kama sio sana lakini kidogo ajueNimeshachukia kupika hata kujifunza tena cwez labda baadae huko nikiolewa sasa ndo nikashinde YouTube nijifunze
Hahaha mamii umekomaa...wew utakua unajua sana kupika[emoji39] [emoji39]Si kweli
Hii ndo Jf hakuna mwenye kasoroHapa JF kila mwanamke ni msomi, anakazi nzuri, kitanadani ni mzuri, anajua kupika, anaishi ushuani, anavaa designer gear, anaendesha gari nzuri.
Hao wasiojua kupika utakutana nao mtaani.