Hivi Kuna Mwanamke Ambaye Hajui Kupika?

Nakumbuka nilifundishwa kupika ugali nipo darasa la pili siku hiyo nimerudi shule sijawekewa chakula nikaambiwa eti nijipikie nitaelekezwa nililia nikawasha jiko la mchina nikabandika sufuria naanza kuelekezwa sasa
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji3] [emoji3] usinikumbushe mie darasa la 3 chakula kimeisha halafu mie ndiye niliye kosa kaka yangu alikuwa tayari, mama huyo njoo lete kisufuria hapo machozi kusonga sasa sufuria linatembea nilitaka hata kususa kula, siku ya 2 nikawepo, yatatu fundi mpaka sasa namkumbuka bimkubwa wangu
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] tuliona tunapata tabu lakini ndio wametufundisha
 
Hatuendi kula mtaan anapikaga mwenyewe uzuri nilimwambia mapema cjui kupika ,akakubal
Namsaidiaga kuosha vyombo tyuu
[emoji120] [emoji120] [emoji120] hongera ,wengine tuliokutana nao duu kupika mtihani wa hesabu, nilianza kumfundisha aanche kununua kuna mtu alikuwa anampikia anaenda kula hapo, akajua, lakini wali ndiyo ilikuwa mtihani, ugali kama jiwe [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Naanza na pilau maana Tanzania hii wageni wanapikiwaga pilau

Jumapl mapema ntalipka
Na pilau lenyewe sio kazi kivile ni mpangilio wa viungo na jinsi ya kuviandaa, jifunze kupika raha sana, shemela akiwa anapika unamsaidia hata kukoroga [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]bhaccc ncvyopenda kupika nikimsikia mwanaume anasema anajua kupika najikuta nampenda buree
Marafiki zangu wa kiume wengi wanajua kupika na mmoja anafanyakazi hotelini,uyu nataman ndo angekuwa bf anapika hatarii
 
Hivi nini kinachotofautisha test? Ukiwapa wanawake wawili vitu vyote sawa na ukawaambia wavipike kila mtu atatoa test yake,i dont know why wakati content ni moja.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]bhaccc ncvyopenda kupika nikimsikia mwanaume anasema anajua kupika najikuta nampenda buree
Marafiki zangu wa kiume wengi wanajua kupika na mmoja anafanyakazi hotelini,uyu nataman ndo angekuwa bf anapika hatarii
[emoji3] [emoji3] [emoji3] halafu wengi wao hupata wanawake wasiojua kabisa kupika na akiwa nyumbani wala hapiki sijui huwa ni kwanini
 
Atakaye muoa namuonea huruma naona ambavyo beki tatu watakuwa wanatafutwa kwa nguvu zote
 
Sijui kupika kwasababu nililelewa na bibi yangu akawa ananidekeza mno,nilivyotoka kwake nikasoma shule za bweni mpaka nilipojitegemea. Nakulaga kwa akina mama na baba nt'ilie kiroho safi kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…