Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,761
- 4,535
Jela za afrika zinafafana ukiweza kaa jela za afrika huwezi shindwa kaa kuzimulabda jela za Uganda zina kiyoyozi ,hizi zetu ni kadirisha tuu cha hewa
Ni kweli ila yote yana mwisho. nkurunziza yuko wapi saivi, mamaeh analiwa na wadudu tu huko chini ya ardhi ..hata wana burundi washamsahau..
Wanahangaika na dunia,check Mugabe mobutu wameacha majumba ulaya yote hio eti unaiandalia familia.Kiwango cha juu sana cha ignorance.
Yanashindana kuwa tajiri wa kwanza duniani kwa wizi na sio kwa kutafuta