Hivi kuna nchi nyingine Waziri anafanya hivi, au ni Tanzania tu?

Hivi kuna nchi nyingine Waziri anafanya hivi, au ni Tanzania tu?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hivi mtu kama Mwana FA ana ushawishi gani hata aifuate Timu ya Taifa kwa madai ya uongo ya kuongeza nguvu ?

Hii nchi mbona kila mahali ni kutafuta fursa?

Screenshot_2024-01-05-22-43-39-1.png
 
Ratiba za maendeleo zipo nyingi mkuu, kama kuangalia lile zoezi la maticha la kumchangia kizmkaze fomu yake kama limefika hata 90%, tunaangalia na baadhi ya mikoa ambayo bado watoto wa darasa la kwanza wanakaa chini, ili tufanya tathmini ya kukopa tena kwenye nchi wezeshi🚶🚶🚶.
 
Back
Top Bottom