Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
michuano hii umeona Rais yupi ?Sahihi. Hata marais huwa wanaenda. Timu yantaifa ninmali ya taifa. Waziri kamili angestahili kwenda.
Tushamstukia .Usishangae akakaa huko Mpaka mashindano yamalizike 😁😄
Mpaka yamalizike wapi !! Wakati baada ya Wiki mbili tu......Baad ya mechi 3 kukamilika Tanzania inaludi nyumbani kuendelea na Ratiba nyingne za kimaendeleoUsishangae akakaa huko Mpaka mashindano yamalizike 😁😄
😆😆😆 unamaanisha tutapigwa mapema ?Mpaka yamalizike wapi !! Wakati baada ya Wiki mbili tu......Baad ya mechi 3 kukamilika Tanzania inaludi nyumbani kuendelea na Ratiba nyingne za kimaendeleo
Sana yani saana, namsihi Dereva wa ndege hata asizime ndege Chap tu Tanzania wanaludi Home😆😆😆 unamaanisha tutapigwa mapema ?
Ohooooo !!Sana yani saana, namsihi Dereva wa ndege hata asizime ndege Chap tu Tanzania wanaludi Home
Duh! Ratiba za kimaendeleo ndo zipi Mkuu au ujenzi wa barabara?Mpaka yamalizike wapi !! Wakati baada ya Wiki mbili tu......Baad ya mechi 3 kukamilika Tanzania inaludi nyumbani kuendelea na Ratiba nyingne za kimaendeleo
Sometimes serekare inazingua kinoumaaaaa!
Hivi mtu kama Mwana FA ana ushawishi gani hata aifuate Timu ya Taifa kwa madai ya uongo ya kuongeza nguvu ?
Hii nchi mbona kila mahali ni kutafuta fursa ?
View attachment 2863041
Wewe nae ni poyoyo. Wanakwenda washabiki wa mitaani kuongeza nguvu, itakuwa waziri?Hivi mtu kama Mwana FA ana ushawishi gani hata aifuate Timu ya Taifa kwa madai ya uongo ya kuongeza nguvu ?
Hii nchi mbona kila mahali ni kutafuta fursa ?
View attachment 2863041
Kula kwa urefu wa kambaUsishangae akakaa huko Mpaka mashindano yamalizike 😁😄
Analipa yy au serikali? Hapo usikute kuna mademu wanaenda nao kimya kimyaNi matembezi hayo kwa kisingizio cha timu ya taifa