Hivi kuna nchi yenye watu Jeuri na kutamba kama Tanzania? Sipati picha iwapo tungekuwa na Uchumi wa hata Dubai tu!

Hivi kuna nchi yenye watu Jeuri na kutamba kama Tanzania? Sipati picha iwapo tungekuwa na Uchumi wa hata Dubai tu!

Trable

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2023
Posts
1,781
Reaction score
3,288
downloadfile(0).jpg

Niambieni, kwa jinsi walivyosimama hapo na mwonekano wao,unadhani ni nani anayedhaniwa kuwa ndo anatakiwa asainishwe mikataba ya DP word?

Kati ya nchi ambazo watu wake ni jeuri, walisharidhika na umasikini wao, na mambo yao ni poa sana, na wenye uwezo wa kuuza chochote bila kufikiri ya badaye, na kwamba, kiwango gani watapata na ama hasara kiasi gani na wasijali kabisa, Ni Tanganyika! Ni watu ambao hawashughurishi kabisa bongo zao kuhusu vile Mungu amewekeza kwenye nchi yao, hawajui kabisa wafanye nini ili kitokee kile zaidi ya kuishia kubinafisisha!

Akili na mawazo yao, yapo kwenye kuwapa wengine waendeshe vitu vyao hata ikiwagharimu usalama wao, ni Tanganyika, Hii inamaa kuwa, nchi haina watalamu? Na ama walienda shule kukarili? Wasomi wetu hawawezi kuisaidia nchi?

Ni nchi ya watu ambao, mtu akiwacholea drafiti la uwongo na kweli la kibiashara, akajitahidi tu kuongea lugha ya Malikia, akahakikisha kuwa amewaaminisha faida kubwa kwenye mradi ule, kwamba watapata faida kubwa na hawatajuta, kiasi kwamba umasikini wa watu wao utakuwa ndo mwisho,, watapiga makofi na vigelegele na kuomba kusaini mkataba haraka bila hata ya kufanyia utafiti! Hii ni Tanganyika

Ni nchi ambayo watu wake hujitapa kuwa na CV kubwa halafu ukizileta kwenye utendaji wa kiufanisi, hauoni chochote!

Ni watu wabishi, wasiopenda kabisa kazi, waongeaji sana na wajuvi wa kupanga mipango, usimamizi sifuri! Ni watu wa kila kitu wataferi tu, Wasomi wa nchi hii wanaweza nini sasa, Kupiga kelele bila action??? Hovyo kabisa! Kwenye hili, Bado Magufuli anawaacha mbaali sana wasomi wetu!

Tumewahi kuaminishwa kuwa, mradi wa Gas ndio mwarobaini wa umasikini wetu na kwamba, tutauza umeme kwenye nchi zote zinazotuzunguka na itakuwa mwisho wa umasikini wa Watanzania,

Nazikumbuka sana hizo speech za Mh Mhongo kipindi hiko akiwa waziri wa Nishati na Madini

Tumebinafisisha mpaka bank sisi na ahadi ya kuuaga umasikini, lakini aaah wapi!

Tumebinafisisha Madini yooote yanayojulikana bado ambayo hayajulikani tu, kwa ahadi zilezile kuwa tunakwenda kuagana na utegemezi, lakini wapi, leo tunautegemezi mkubwa kuliko hata kabla ya kubinafisisha vitu vyetu

Kwani nchi yetu imepatwa na nini?

Sisi tuko sawa kweli??

Leo tena tunataka tuwape Bandari zetu waarabu wa DP word, hata kama ni hatari kwa usalama wa nchi yetu, ahadi ni zilezile kwamba, tunakwenda kuachana na utegemezi na watu wetu kuondokana na Umasikini!

Bado tu tunaendelea kuamini lugha hizi zilizoferi?

Kwani sisi tukiamua kuuwa bajeti ya wizara moja wapo ili tuwekeze kwenye hizi Bandari zetu, tukanunua vifaa ambavyo DP wanataka kuja nazo, hatutofanikiwa?
 
Hizi lugha za kwamba, watanzania ni wezi sana na ndiyo maana Bandari haifanyi vizuri, ni lugha za watu waliochoka saana na hawajui ni kwa nini wao ni viongozi!

Utakuta Wanasema hivyo, na bado na wao ni watanzania!
 
View attachment 2666430
Niambieni, kwa jinsi walivyosimama hapo na mwonekano wao,unadhani ni nani anayedhaniwa kuwa ndo anatakiwa asainishwe mikataba ya DP word?

Kati ya nchi ambazo watu wake ni jeuri, walisharidhika na umasikini wao, na mambo yao ni poa sana, na wenye uwezo wa kuuza chochote bila kufikiri ya badaye, na kwamba, kiwango gani wanapata na ama hasara kiasi gani na wasijali kabisa, Ni Tanganyika! Ni watu ambao hawashughurishi kabisa bongo zao kuhusu vile Mungu amewekeza kwenye nchi yao, hawajui kabisa wafanye nini ili kitokee kile zaidi ya kuishia kubinafisisha!

Akili na mawazo yao, yapo kwenye kuwapa wengine waendeshe vitu vyao hata ikiwagharimu usalama wao, ni Tanganyika

Ni nchi ya watu ambao, mtu akiwacholea drafiti la uwongo na kweli la kibiashara, akajitahidi tu kuongea lugha ya Malikia, akahakikisha kuwa amewaaminisha faida kubwa kwenye mradi ule, kwamba watapata faida kubwa na hawatajuta, kiasi kwamba umasikini wa watu wao utakuwa ndo mwisho,, watapiga makofi na vigelegele na kuomba kusaini mkataba haraka bila hata ya kufanyia utafiti! Hii ni Tanganyika

Tumewahi kuaminishwa kuwa, mradi wa Gas ndio mwarobaini wa umasikini wetu na kwamba, tutauza umeme kwenye nchi zote zinazotuzunguka na itakuwa mwisho wa umasikini wa Watanzania,

Nazikumbuka sana hizo speech za Mh Mhongo kipindi hiko akiwa waziri wa Nishati na Madini

Tumebinafisisha mpaka bank sisi na ahadi ya kuuaga umasikini, lakini aaah wapi!

Tumebinafisisha Madini yooote yanayojulikana bado ambayo hayajulikani tu, kwa ahadi zilezile kuwa tunakwenda kuagana na utegemezi, lakini wapi, leo tunautegemezi mkubwa kuliko hata kabla ya kubinafisisha vitu vyetu

Kwani nchi yetu imepatwa na nini?

Sisi tuko sawa kweli??

Leo tena tunataka tuwape Bandari zetu waarabu wa DP word, hata kama ni hatari kwa usalama wa nchi yetu, ahadi ni zilezile kwamba, tunakwenda kuachana na utegemezi na watu wetu kuondokana na Umasikini!

Bado tu tunaendelea kuamini lugha hizi zilizoferi?

Kwani sisi tukiamua kuuwa bajeti ya wizara moja wapo ili tuwekeze kwenye hizi Bandari zetu, tukanunua vifaa ambavyo DP wanataka kuja nazo, hatutofanikiwa?
Ni ujinga,ushamba na ulimbukeni wa maisha! Hovyo kabisa!

Huyo kaka sijui anaitwa khanga huwa ananikeraaa Basi tu kwa vile ni mtu maarufu. Ubongo wake hauna akili nzuri!
 
Hao ndiyo watu wanao wa inspire,wanao wa motivate nyie wabongo si ndiyo,tena hapo wamekosekana wakina mwijaku baba level pia...ahh na mandonga [emoji1]
Nyie ndiyo mmewapa umaarufu na kuwafanya wawe na platform bongo
Hadi kufatiliwa [emoji1]

Ova
 
View attachment 2666430
Niambieni, kwa jinsi walivyosimama hapo na mwonekano wao,unadhani ni nani anayedhaniwa kuwa ndo anatakiwa asainishwe mikataba ya DP word?

Kati ya nchi ambazo watu wake ni jeuri, walisharidhika na umasikini wao, na mambo yao ni poa sana, na wenye uwezo wa kuuza chochote bila kufikiri ya badaye, na kwamba, kiwango gani wanapata na ama hasara kiasi gani na wasijali kabisa, Ni Tanganyika! Ni watu ambao hawashughurishi kabisa bongo zao kuhusu vile Mungu amewekeza kwenye nchi yao, hawajui kabisa wafanye nini ili kitokee kile zaidi ya kuishia kubinafisisha!

Akili na mawazo yao, yapo kwenye kuwapa wengine waendeshe vitu vyao hata ikiwagharimu usalama wao, ni Tanganyika

Ni nchi ya watu ambao, mtu akiwacholea drafiti la uwongo na kweli la kibiashara, akajitahidi tu kuongea lugha ya Malikia, akahakikisha kuwa amewaaminisha faida kubwa kwenye mradi ule, kwamba watapata faida kubwa na hawatajuta, kiasi kwamba umasikini wa watu wao utakuwa ndo mwisho,, watapiga makofi na vigelegele na kuomba kusaini mkataba haraka bila hata ya kufanyia utafiti! Hii ni Tanganyika

Tumewahi kuaminishwa kuwa, mradi wa Gas ndio mwarobaini wa umasikini wetu na kwamba, tutauza umeme kwenye nchi zote zinazotuzunguka na itakuwa mwisho wa umasikini wa Watanzania,

Nazikumbuka sana hizo speech za Mh Mhongo kipindi hiko akiwa waziri wa Nishati na Madini

Tumebinafisisha mpaka bank sisi na ahadi ya kuuaga umasikini, lakini aaah wapi!

Tumebinafisisha Madini yooote yanayojulikana bado ambayo hayajulikani tu, kwa ahadi zilezile kuwa tunakwenda kuagana na utegemezi, lakini wapi, leo tunautegemezi mkubwa kuliko hata kabla ya kubinafisisha vitu vyetu

Kwani nchi yetu imepatwa na nini?

Sisi tuko sawa kweli??

Leo tena tunataka tuwape Bandari zetu waarabu wa DP word, hata kama ni hatari kwa usalama wa nchi yetu, ahadi ni zilezile kwamba, tunakwenda kuachana na utegemezi na watu wetu kuondokana na Umasikini!

Bado tu tunaendelea kuamini lugha hizi zilizoferi?

Kwani sisi tukiamua kuuwa bajeti ya wizara moja wapo ili tuwekeze kwenye hizi Bandari zetu, tukanunua vifaa ambavyo DP wanataka kuja nazo, hatutofanikiwa?

Kukata tamaa ni dhambi nzito kabisa….
 
View attachment 2666430
Niambieni, kwa jinsi walivyosimama hapo na mwonekano wao,unadhani ni nani anayedhaniwa kuwa ndo anatakiwa asainishwe mikataba ya DP word?

Kati ya nchi ambazo watu wake ni jeuri, walisharidhika na umasikini wao, na mambo yao ni poa sana, na wenye uwezo wa kuuza chochote bila kufikiri ya badaye, na kwamba, kiwango gani wanapata na ama hasara kiasi gani na wasijali kabisa, Ni Tanganyika! Ni watu ambao hawashughurishi kabisa bongo zao kuhusu vile Mungu amewekeza kwenye nchi yao, hawajui kabisa wafanye nini ili kitokee kile zaidi ya kuishia kubinafisisha!

Akili na mawazo yao, yapo kwenye kuwapa wengine waendeshe vitu vyao hata ikiwagharimu usalama wao, ni Tanganyika

Ni nchi ya watu ambao, mtu akiwacholea drafiti la uwongo na kweli la kibiashara, akajitahidi tu kuongea lugha ya Malikia, akahakikisha kuwa amewaaminisha faida kubwa kwenye mradi ule, kwamba watapata faida kubwa na hawatajuta, kiasi kwamba umasikini wa watu wao utakuwa ndo mwisho,, watapiga makofi na vigelegele na kuomba kusaini mkataba haraka bila hata ya kufanyia utafiti! Hii ni Tanganyika

Tumewahi kuaminishwa kuwa, mradi wa Gas ndio mwarobaini wa umasikini wetu na kwamba, tutauza umeme kwenye nchi zote zinazotuzunguka na itakuwa mwisho wa umasikini wa Watanzania,

Nazikumbuka sana hizo speech za Mh Mhongo kipindi hiko akiwa waziri wa Nishati na Madini

Tumebinafisisha mpaka bank sisi na ahadi ya kuuaga umasikini, lakini aaah wapi!

Tumebinafisisha Madini yooote yanayojulikana bado ambayo hayajulikani tu, kwa ahadi zilezile kuwa tunakwenda kuagana na utegemezi, lakini wapi, leo tunautegemezi mkubwa kuliko hata kabla ya kubinafisisha vitu vyetu

Kwani nchi yetu imepatwa na nini?

Sisi tuko sawa kweli??

Leo tena tunataka tuwape Bandari zetu waarabu wa DP word, hata kama ni hatari kwa usalama wa nchi yetu, ahadi ni zilezile kwamba, tunakwenda kuachana na utegemezi na watu wetu kuondokana na Umasikini!

Bado tu tunaendelea kuamini lugha hizi zilizoferi?

Kwani sisi tukiamua kuuwa bajeti ya wizara moja wapo ili tuwekeze kwenye hizi Bandari zetu, tukanunua vifaa ambavyo DP wanataka kuja nazo, hatutofanikiwa?
Ingekuwa balaa. Maana watu wengi majeuri na vichwa ngumu wa kuelewa hasa akina Lissu et al.
 
View attachment 2666430
Niambieni, kwa jinsi walivyosimama hapo na mwonekano wao,unadhani ni nani anayedhaniwa kuwa ndo anatakiwa asainishwe mikataba ya DP word?

Kati ya nchi ambazo watu wake ni jeuri, walisharidhika na umasikini wao, na mambo yao ni poa sana, na wenye uwezo wa kuuza chochote bila kufikiri ya badaye, na kwamba, kiwango gani wanapata na ama hasara kiasi gani na wasijali kabisa, Ni Tanganyika! Ni watu ambao hawashughurishi kabisa bongo zao kuhusu vile Mungu amewekeza kwenye nchi yao, hawajui kabisa wafanye nini ili kitokee kile zaidi ya kuishia kubinafisisha!

Akili na mawazo yao, yapo kwenye kuwapa wengine waendeshe vitu vyao hata ikiwagharimu usalama wao, ni Tanganyika

Ni nchi ya watu ambao, mtu akiwacholea drafiti la uwongo na kweli la kibiashara, akajitahidi tu kuongea lugha ya Malikia, akahakikisha kuwa amewaaminisha faida kubwa kwenye mradi ule, kwamba watapata faida kubwa na hawatajuta, kiasi kwamba umasikini wa watu wao utakuwa ndo mwisho,, watapiga makofi na vigelegele na kuomba kusaini mkataba haraka bila hata ya kufanyia utafiti! Hii ni Tanganyika

Tumewahi kuaminishwa kuwa, mradi wa Gas ndio mwarobaini wa umasikini wetu na kwamba, tutauza umeme kwenye nchi zote zinazotuzunguka na itakuwa mwisho wa umasikini wa Watanzania,

Nazikumbuka sana hizo speech za Mh Mhongo kipindi hiko akiwa waziri wa Nishati na Madini

Tumebinafisisha mpaka bank sisi na ahadi ya kuuaga umasikini, lakini aaah wapi!

Tumebinafisisha Madini yooote yanayojulikana bado ambayo hayajulikani tu, kwa ahadi zilezile kuwa tunakwenda kuagana na utegemezi, lakini wapi, leo tunautegemezi mkubwa kuliko hata kabla ya kubinafisisha vitu vyetu

Kwani nchi yetu imepatwa na nini?

Sisi tuko sawa kweli??

Leo tena tunataka tuwape Bandari zetu waarabu wa DP word, hata kama ni hatari kwa usalama wa nchi yetu, ahadi ni zilezile kwamba, tunakwenda kuachana na utegemezi na watu wetu kuondokana na Umasikini!

Bado tu tunaendelea kuamini lugha hizi zilizoferi?

Kwani sisi tukiamua kuuwa bajeti ya wizara moja wapo ili tuwekeze kwenye hizi Bandari zetu, tukanunua vifaa ambavyo DP wanataka kuja nazo, hatutofanikiwa?
Mm nakwambia ndugu,kama watanzania hatutaanza kujifunza kuandamana sasa tutaambulia patupu,Waliopo bungeni ni punguani watupu,na punguani hawezi kujua historia nn,wapi tumetoka,kuamini kwamba tumeshindwa kusimamia bandari kwa lugha nyingine mama SAMIA anatuambia wazi kwamba CCM ni jinamizi na shetani kwa maendeleo yetu.Tuamke.
 
Hizi lugha za kwamba, watanzania ni wezi sana na ndiyo maana Bandari haifanyi vizuri, ni lugha za watu waliochoka saana na hawajui ni kwa nini wao ni viongozi!

Wanasema hivyo ili hali na wao ni watanzania!
Sisi ni wezi haihitaji degree kutambua Hilo kila kijana anaeajiriwa anaangalia pa kupiga ndo uwape bandari watu wa aina hiyo wanaoiba na ufanisi wa kazi hamna

Vivid example;TANESCO,TTCL,TCL,DART
 
Mm nakwambia ndugu,kama watanzania hatutaanza kujifunza kuandamana sasa tutaambulia patupu,Waliopo bungeni ni punguani watupu,na punguani hawezi kujua historia nn,wapi tumetoka,kuamini kwamba tumeshindwa kusimamia bandari kwa lugha nyingine mama SAMIA anatuambia wazi kwamba CCM ni jinamizi na shetani kwa maendeleo yetu.Tuamke.
Sisi hatutaki vurugu. Maandamano ya nini wakati tuna Rais kipenzi cha watu mwenye utu jambo ambalo hadi akina mama wa CHADEMA wanalijua sana? Hatutaki maandamano.
 
View attachment 2666430
Niambieni, kwa jinsi walivyosimama hapo na mwonekano wao,unadhani ni nani anayedhaniwa kuwa ndo anatakiwa asainishwe mikataba ya DP word?

Kati ya nchi ambazo watu wake ni jeuri, walisharidhika na umasikini wao, na mambo yao ni poa sana, na wenye uwezo wa kuuza chochote bila kufikiri ya badaye, na kwamba, kiwango gani wanapata na ama hasara kiasi gani na wasijali kabisa, Ni Tanganyika! Ni watu ambao hawashughurishi kabisa bongo zao kuhusu vile Mungu amewekeza kwenye nchi yao, hawajui kabisa wafanye nini ili kitokee kile zaidi ya kuishia kubinafisisha!

Akili na mawazo yao, yapo kwenye kuwapa wengine waendeshe vitu vyao hata ikiwagharimu usalama wao, ni Tanganyika

Ni nchi ya watu ambao, mtu akiwacholea drafiti la uwongo na kweli la kibiashara, akajitahidi tu kuongea lugha ya Malikia, akahakikisha kuwa amewaaminisha faida kubwa kwenye mradi ule, kwamba watapata faida kubwa na hawatajuta, kiasi kwamba umasikini wa watu wao utakuwa ndo mwisho,, watapiga makofi na vigelegele na kuomba kusaini mkataba haraka bila hata ya kufanyia utafiti! Hii ni Tanganyika

Tumewahi kuaminishwa kuwa, mradi wa Gas ndio mwarobaini wa umasikini wetu na kwamba, tutauza umeme kwenye nchi zote zinazotuzunguka na itakuwa mwisho wa umasikini wa Watanzania,

Nazikumbuka sana hizo speech za Mh Mhongo kipindi hiko akiwa waziri wa Nishati na Madini

Tumebinafisisha mpaka bank sisi na ahadi ya kuuaga umasikini, lakini aaah wapi!

Tumebinafisisha Madini yooote yanayojulikana bado ambayo hayajulikani tu, kwa ahadi zilezile kuwa tunakwenda kuagana na utegemezi, lakini wapi, leo tunautegemezi mkubwa kuliko hata kabla ya kubinafisisha vitu vyetu

Kwani nchi yetu imepatwa na nini?

Sisi tuko sawa kweli??

Leo tena tunataka tuwape Bandari zetu waarabu wa DP word, hata kama ni hatari kwa usalama wa nchi yetu, ahadi ni zilezile kwamba, tunakwenda kuachana na utegemezi na watu wetu kuondokana na Umasikini!

Bado tu tunaendelea kuamini lugha hizi zilizoferi?

Kwani sisi tukiamua kuuwa bajeti ya wizara moja wapo ili tuwekeze kwenye hizi Bandari zetu, tukanunua vifaa ambavyo DP wanataka kuja nazo, hatutofanikiwa?
Watanzania hata kubeba uchafu kwenye mitaa yenu hamuwezi sembuse kuwekeza kwenye bandari?

Tunajua wenyewe hatuwezi kusimamia, ni wezi na wavivu. Hatuna pesa za kuendeleza hasa technology and marketing, internationally. Mwekezaji aje, with good terms, kwa vizazi vyetu vya baadae!
 
Watanzania hata kubeba uchafu kwenye mitaa yenu hamuwezi sembuse kuwekeza kwenye bandari?

Tunajua wenyewe hatuwezi kusimamia, ni wezi na wavivu. Hatuna pesa za kuendeleza hasa technology and marketing, internationally. Mwekezaji aje, with good terms, kwa vizazi vyetu vya baadae!
Kama ndiyo hivyo, hata hao wawekezaji wanapofanya kazi na sisi, hawaogopi kuibiwa,?
 
Mm nakwambia ndugu,kama watanzania hatutaanza kujifunza kuandamana sasa tutaambulia patupu,Waliopo bungeni ni punguani watupu,na punguani hawezi kujua historia nn,wapi tumetoka,kuamini kwamba tumeshindwa kusimamia bandari kwa lugha nyingine mama SAMIA anatuambia wazi kwamba CCM ni jinamizi na shetani kwa maendeleo yetu.Tuamke.
Jumatatu ya tarehe 19/ 06/ 23 kulikuwa na maandamano yameandaliwa kwa wiki zima na Deusdetith Soka, walikwenda watu 5 tu. Mbona hatukukuona ndugu JET SALLI au mnataka kuchochea wenzenu tu?
 
Sisi ni wezi haihitaji degree kutambua Hilo kila kijana anaeajiriwa anaangalia pa kupiga ndo uwape bandari watu wa aina hiyo wanaoiba na ufanisi wa kazi hamna

Vivid example;TANESCO,TTCL,TCL,DART
Unadhani hatuwezi kuwa na dawa?

Kwa nini China kunasheria ya kunyonga majizi, unadhani ni kwa nini walijiwekea sheria hiyo?

Huoni kwamba wao huwenda ni wajuvi wa kuiba kuliko Sisi?
 
Jumatatu ya tarehe 19/ 06/ 23 kulikuwa na maandamano yameandaliwa kwa wiki zima na Deusdetith Soka, walikwenda watu 5 tu. Mbona hatukukuona ndugu JET SALLI au mnataka kuchochea wenzenu tu?
Bongo, ni sehemu hatari sana mtu kufikia ndoto zako inalazimu mtu uwe mwizi!

Maandamano hubadiri hali za kisiasa pia kiuchumi na huleta kuheshimiana kati ya viongozi na wananchi! Lakini wananchi ni waoga kuliko kuku yaani

Lakini kinachokuwa kinafanyika Tanganyika, ni cha kusikitisha na kukatisha tamaa
 
Jumatatu ya tarehe 19/ 06/ 23 kulikuwa na maandamano yameandaliwa kwa wiki zima na Deusdetith Soka, walikwenda watu 5 tu. Mbona hatukukuona ndugu JET SALLI au mnataka kuchochea wenzenu tu?
Hawa ni wababaishaji hawana lolote. Utaandamanaje kumpinga mama wa watu ambaye anapenda watu wote bila kubagua?
 
Back
Top Bottom