Hivi kuna ndege imeshatua Chato tangu baada ya mazishi?

Twiga wa Burigi walikuwa wakipewa chai na maandazi, mlitaka waishije Sasa?
 
Hao wenye kaniki ndio wataalam wa makinikia, makenia au urubani?
 
Huko kote abiria wapo wa kutosha tatizo bei zao sio realistic hata fast jet huko ulipotaja walikua wanaenda kwa gharama nafuu sana nakumbuka Dar mwanza ilikua 94k
 
Kwani kabla ya ATCL kufufuliwa na Magufuli hao wa pembezoni walikuwa wanasafirije? Ilikuwapo FASTJET na Precision mahali ambapo ATCL haifiki.

Watu wanaopandia Chato walikuwa wanaopandia Mwanza kwa kupita kwenye kivuko
 
Huko kwote abiria wapo wa kutosha tatizo bei zao sio realistic hata fast jet huko ulipotaja walikua wanaenda kwa gharama nafuu sana nakumbuka Dar mwanza ilikua 94k
Kama ni kwa mtazamo huo basi hata Kazuramimba na Nangurukuru nako kuna abiria wengi.

Umetaja kuwa "Bei siyo realistic." Unapoongelea BEI una maanisha AFFORDABILITY. Kila mradi wa kiuchumi unaofanywa lazima uwe na feasibility study na business plan. Hapo ndipo kuna chapter ya Market au Affordability. Yaani ni nani watapanda na wana kipato gani?
FastJet aliweza kwenda Mwanza kwa Tsh 94,000 kwa sababu walikuwa hawana "overheads" za kwenda Katavi na Chato. Ina maana ndege yao ya Airbus ya abiria 120 ilikuwa inajaa kwa tiketi ya Tsh 94,000.

ATCL kwa kuwa wana cover overheads za Chato na Katavi ile Airbus inaruka na abiria 40 waliolipa Tsh 270,000

Kwa hiyo utagundua kuwa abiria wa Dar -Mwanza au Dar - Kilimanjaro, wanuziwa tiketi kwa bei ghali ili kuwalipia abiria wa Chato na Katavi.
 
Kwani kabla ya ATCL kufufuliwa na Magufuli hao wa pembezoni walikuwa wanasafirije? Ilikuwapo FASTJET na Precision mahali ambapo ATCL haifiki.

Watu wanaopandia Chato walikuwa wanaopandia Mwanza kwa kupita kwenye kivuko
Mimi nime jaribu kuangalia nchi nzima kwa upana wake sio Chato tu. Msingi wa post tangu ni kutoafiki kubana usafiri huo kwa mikoa michache kwa kufuata walichofanga Fast Jet kwa kwenda Mbeya, Kilimanjaro na Mwanza kwa mujibu wa mdau mmoja hapo juu.
 
Mimi nime jaribu kuangalia nchi nzima kwa upana wake sio Chato tu. Msingi wa post tangu ni kutoafiki kubana usafiri huo kwa mikoa michache kwa kufuata walichofanga Fast Jet kwa kwenda Mbeya, Kilimanjaro na Mwanza kwa mujibu wa mdau mmoja hapo juu.
Jibu ni Serikali iruhusu soko huria kwenye biashara. Namna walivyondolewa FAST JET ku- operate Tanzania matunda yake ndiyo haya.

Mimi naongea kwa perspective ya kibiashara
 
Air Tanzania wanaenda mara tatu kwa wiki boss.
 
Jibu ni Serikali iruhusu soko huria kwenye biashara. Namna walivyondolewa FAST JET ku- operate Tanzania matunda yake ndiyo haya.

Mimi naongea kwa perspective ya kibiashara
Nakuelewa lakini na wengi wanaongea hii issue wanasahau service perspective ya hiyo biashara kwa nchi. Ndio maana akina KQ kila mwaka hasara lakini hawafi.
 
Nakuelewa lakini na wengi wanaongea hii issue wanasahau service perspective ya hiyo biashara kwa nchi. Ndio maana akina KQ kila mwaka hasara lakini hawafi.
Kwa KQ kwanza usijifananishe na ATCL hata kama wana pata hasara. Kwanza kuna tofauti katika umiliki. Majority shareholding ni Private. Pili mtandao wao uko embedded na Tourism
 
Kwa KQ kwanza usijifananishe na ATCL hata kama wana pata hasara. Kwanza kuna tofauti katika umiliki. Majority shareholding ni Private. Pili mtandao wao uko embedded na Tourism
Sasa tofauti ni nini kwenye wao kuendelea kuwepo? Kwanini bado wanaendelea?
 
Mkuu achana na ushabiki hata huipendi CCM na Chato kwa ujumla kaa kimya.
Ndege si kutua tu bali zinafanya safari yake Chato to Dar kwa wiki mara mbili.
Karibu Chato mkuu
 
Mkuu achana na ushabiki hata huipendi CCM na Chato kwa ujumla kaa kimya.
Ndege si kutua tu bali zinafanya safari yake Chato to Dar kwa wiki mara mbili.
Karibu Chato mkuu
 


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…