Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Wewe kweli tax driver.Acha upuuzi mi ni dereva tax hapa nje ya uwanja hakuna ndege hata moja ishatua Acha upuuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kweli tax driver.Acha upuuzi mi ni dereva tax hapa nje ya uwanja hakuna ndege hata moja ishatua Acha upuuzi
Twiga wa Burigi walikuwa wakipewa chai na maandazi, mlitaka waishije Sasa?"Hivi hapa wapi vile? Angekuwepo Siti karibu hapa angenitajia!" ananong'onezwa na kukumbushwa panaitwa Chato - anaitikia kwa nguvu "CHATOOO!"
Eti jamani hivi kuna ndege ambayo ishatua Uwanja wa Kimataifa wa Chato tangu baada ya msiba? Na kama ipo ilipeleka huduma gani?
Inasemakana pia hata wale twiga waliopelekwa kule Hifadhi ya Burigi na baadhi ya wanyama kama hao wengi wao wamekufa kutokana na kutoendena na ikolojia!
SawaYeap
Hao wenye kaniki ndio wataalam wa makinikia, makenia au urubani?Usiku wa kuamkia leo ndege nyingi zilitua Chato, zikileta utitiri wa wageni kuja kutoa pole kwa wafiwa. Hii imepelekea kufikia hatua wananchi kujitokeza kwa wingi sana kuja kuunga mkono juhudi za marehemu kwa kuzishangaa.
Miongoni mwa ndege hizo ni Air Force ya USA, iliokia ikiendeshwa na Kepteni Mshana Jr ilimleta Makamu Wa Rais Kamala Harris kuja kumwakilisha Rais Wa Marekani na watu wake.
Kiwanja cha ndege chato kipo bussy sana kuliko hata cha KIA.View attachment 1742929
Kwamba hayupo duniani au sijaelewa mkuuBia yetu alishapitiwa na mgeni kipindi cha uchaguzi.
Mwanza hapa zinatua mbona kila mara! Unataka kusema nini sasa..?Je kuna ndege yoyote iliyo Tua KIA, JKIA, MWANZA, tangu kipindi hicho?
Mkuu wewe pia unashida tena zaidi ya unayemuita mpuuzi. Kama wewe ni tax driver na hapo hamna ndege zinatua, unafanya nini sasa hapo!!Acha upuuzi mi ni dereva tax hapa nje ya uwanja hakuna ndege hata moja ishatua Acha upuuzi
Huko kote abiria wapo wa kutosha tatizo bei zao sio realistic hata fast jet huko ulipotaja walikua wanaenda kwa gharama nafuu sana nakumbuka Dar mwanza ilikua 94kKama ningekuwa CEO wa ATCL kwa kwa kweli nisingekwenda viwanja vifuatavyo;
1. Chato
2. Mpanda/ Katavi
3. Songea
4. Iringa
5. Shinyanga
Ukisikia CAG anasema kwa mahesabu ya 2019/21, ATCL imepata loss ya Tsh 60 Bilion, ujue sababu ni kwenda kwenye viwanja vya peripheral.
FAST JET walioperate kwa faida kwa kwenda Mwanza, Kilimanjaro na Mbeya tu.
Hakuna haja ya kwenda kwenye mikoa kwa ajili ya kuwaridhisha wanasiasa. Huu siyo mwenge wa uhuru, bali ni biashara ambayo lazima izalishe faida
Kwani kabla ya ATCL kufufuliwa na Magufuli hao wa pembezoni walikuwa wanasafirije? Ilikuwapo FASTJET na Precision mahali ambapo ATCL haifiki.Ni vyema hiyo hasara ikaangaliwa kwa upana zaidi kuliko ulipoishia kwa kuanzia aina ya ndege zilizopo na aina ya operations, maintenance, mikataba, na maeneo mengine. Kila kona ya Tanzania kuna Watanzania wanaohitaji usafiri wa ndege. Cha msingi ni kuzingatia aina ya ndege ya kupeleka na idadi ya route kwa wiki.
Kama ni kwa mtazamo huo basi hata Kazuramimba na Nangurukuru nako kuna abiria wengi.Huko kwote abiria wapo wa kutosha tatizo bei zao sio realistic hata fast jet huko ulipotaja walikua wanaenda kwa gharama nafuu sana nakumbuka Dar mwanza ilikua 94k
Mimi nime jaribu kuangalia nchi nzima kwa upana wake sio Chato tu. Msingi wa post tangu ni kutoafiki kubana usafiri huo kwa mikoa michache kwa kufuata walichofanga Fast Jet kwa kwenda Mbeya, Kilimanjaro na Mwanza kwa mujibu wa mdau mmoja hapo juu.Kwani kabla ya ATCL kufufuliwa na Magufuli hao wa pembezoni walikuwa wanasafirije? Ilikuwapo FASTJET na Precision mahali ambapo ATCL haifiki.
Watu wanaopandia Chato walikuwa wanaopandia Mwanza kwa kupita kwenye kivuko
Jibu ni Serikali iruhusu soko huria kwenye biashara. Namna walivyondolewa FAST JET ku- operate Tanzania matunda yake ndiyo haya.Mimi nime jaribu kuangalia nchi nzima kwa upana wake sio Chato tu. Msingi wa post tangu ni kutoafiki kubana usafiri huo kwa mikoa michache kwa kufuata walichofanga Fast Jet kwa kwenda Mbeya, Kilimanjaro na Mwanza kwa mujibu wa mdau mmoja hapo juu.
Nakuelewa lakini na wengi wanaongea hii issue wanasahau service perspective ya hiyo biashara kwa nchi. Ndio maana akina KQ kila mwaka hasara lakini hawafi.Jibu ni Serikali iruhusu soko huria kwenye biashara. Namna walivyondolewa FAST JET ku- operate Tanzania matunda yake ndiyo haya.
Mimi naongea kwa perspective ya kibiashara
Kwa KQ kwanza usijifananishe na ATCL hata kama wana pata hasara. Kwanza kuna tofauti katika umiliki. Majority shareholding ni Private. Pili mtandao wao uko embedded na TourismNakuelewa lakini na wengi wanaongea hii issue wanasahau service perspective ya hiyo biashara kwa nchi. Ndio maana akina KQ kila mwaka hasara lakini hawafi.
Sasa tofauti ni nini kwenye wao kuendelea kuwepo? Kwanini bado wanaendelea?Kwa KQ kwanza usijifananishe na ATCL hata kama wana pata hasara. Kwanza kuna tofauti katika umiliki. Majority shareholding ni Private. Pili mtandao wao uko embedded na Tourism
Mkuu achana na ushabiki hata huipendi CCM na Chato kwa ujumla kaa kimya."Hivi hapa wapi vile? Angekuwepo Siti karibu hapa angenitajia!" ananong'onezwa na kukumbushwa panaitwa Chato - anaitikia kwa nguvu "CHATOOO!"
Eti jamani hivi kuna ndege ambayo ishatua Uwanja wa Kimataifa wa Chato tangu baada ya msiba? Na kama ipo ilipeleka huduma gani?
Inasemakana pia hata wale twiga waliopelekwa kule Hifadhi ya Burigi na baadhi ya wanyama kama hao wengi wao wamekufa kutokana na kutoendena na ikolojia!
Mkuu achana na ushabiki hata huipendi CCM na Chato kwa ujumla kaa kimya."Hivi hapa wapi vile? Angekuwepo Siti karibu hapa angenitajia!" ananong'onezwa na kukumbushwa panaitwa Chato - anaitikia kwa nguvu "CHATOOO!"
Eti jamani hivi kuna ndege ambayo ishatua Uwanja wa Kimataifa wa Chato tangu baada ya msiba? Na kama ipo ilipeleka huduma gani?
Inasemakana pia hata wale twiga waliopelekwa kule Hifadhi ya Burigi na baadhi ya wanyama kama hao wengi wao wamekufa kutokana na kutoendena na ikolojia!
"Hivi hapa wapi vile? Angekuwepo Siti karibu hapa angenitajia!" ananong'onezwa na kukumbushwa panaitwa Chato - anaitikia kwa nguvu "CHATOOO!"
Eti jamani hivi kuna ndege ambayo ishatua Uwanja wa Kimataifa wa Chato tangu baada ya msiba? Na kama ipo ilipeleka huduma gani?
Inasemakana pia hata wale twiga waliopelekwa kule Hifadhi ya Burigi na baadhi ya wanyama kama hao wengi wao wamekufa kutokana na kutoendena na ikolojia!