Hivi kuna sababu zipi zilizopelekea kushindwa kwa India katika vita ya 1962

FUTA UZI WAKO
afu rudia kuandika vizuri kabisa na kwa heshima kama mtu anaehitaji kweli Msaada kisha usubiri uone majibu yake utakayopata na hutojuta kuwa hapa jukwaani ni hayo tu chief
Asante sana chief
 
Turidafafue ndio nini
 
Popote ulipotumia X badala ya S rudia kuziondoa halafu tumia lugha inayoeleweka upo "JAMII INTELLIGENCE" lasivyo mada yako ni utoto haupo serious!!!..SIO OMBI
Mwambie huyo dogo wa Facebook, uandishi wa kimapenzi sijui huwa wana haraka gani.
 
Point ni zile zile mkuu
1. Poor weapons
2. False ideology
3. Lack of good leadership
4. Lack of transport

Hyo moja tafuta mwenyewe ziwe tano
 
Unatatizo kubwa la r na l. Neno So ni kiingereza wewe umeandika Soo, Kudadavua sio sawa na kudadafua. Rudi shule
 
Msameheni bure kwa uandishi wa kitoto, lakini mwenye kujua atoe hiyo elimu itusaidie na sisi pia.
 
Popote ulipotumia X badala ya S rudia kuziondoa halafu tumia lugha inayoeleweka upo "JAMII INTELLIGENCE" lasivyo mada yako ni utoto haupo serious!!!..SIO OMBI
Teh teh ati si ombi..
Watu wa Jf mna mikwara..πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Hadi post hii bado hajajibiwa! Kweli JF kosa dogo tu unajiharibia uzi wako!
 
Teh teh ati si ombi..
Watu wa Jf mna mikwara..πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Kaiweka kichit chat sana!..halafu sijui imekuaje Admin wameipeleka hewani bila kuiangalia post wakati ukiweka mada huku Intelligence kuna kaujumbe "waiting for moderation before posted"
Kuna wengine wanalalamika nyuzi zao hazipandi huku!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…