Hivi kuna sababu zipi zilizopelekea kushindwa kwa India katika vita ya 1962

Mkuu thesym ni India waliokua wanategemea msaada wa USSR ila hawakuupata sababu USSR mambo yalikua magumu kwenye mzozo wa makombora ya Cuba akawapotezea (India). Wahenga hawakukosea "mtegemea cha ndugu,hufa masikini"
 
Naona mada ya jamaa mmeichinjia mtoni
Approach aliyoitumia kuwakilisha mada yake haipo sawa mkuu!.. Alitakiwa atuletee fact anazoona zinamsumbua kuliko kuja kuuliza nini kilitokea like hajui kabisa!!..which seemz ain't true!. lakini @enlightment kaanza tackle the Q!.
 


HABARI,
"Dabby Jr
Moja ya sabau kubwa ni LOGISTICAL FAILURE Kama unakumbuka na ulifatilia kwa karibu habari za vita hii jeshi la India liliishiwa chakula hasa front line pia lilipungukiwa na kiasi kikubwa cha vifaa kwa hiyo jeshi likawa dhaifu sana.

LUMUMBA
 
FUTA UZI WAKO
afu rudia kuandika vizuri kabisa na kwa heshima kama mtu anaehitaji kweli Msaada kisha usubiri uone majibu yake utakayopata na hutojuta kuwa hapa jukwaani ni hayo tu chief
Asante sana Chief
 
Asante sana mkuu
 
Umemtosha mkuu
 
Pamoja mkuu ila majibu ya swali wadau wameshayatoa.
Walau kidogo,maana mkuu nilikuwa nafatilia mgogoro wa mpaka kati ya India na Pakistan kwenye jimbo la Kashmir, sasa ndipo mambo yakawa mambo,kuwa kumbe hata sasa India na China kuna mtafaruko wa chini kwa chini.

Asante sana mkuu
 
Hili jukwaa ni la watu makini, uandishi kama huu mwisho wake kwa demu wako.
 
Yeah hizo lugha ziishie Chit-Chat kama hawezi huku aombe uhamisho uzi upelekwe chit chat watu wakatumie lugha waonavyo!..Tuheshimu na majukwaa!
hahaaa....huku kafuata nini !!? kuna haja ya mods kuliwekea access hili jukwaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…