Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Kawaida basi kama kujisifu basi na sisi tulimpiga mtu 4 Tabora...Yanga kampiga mtu tatu hapo hapo Morogoro.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawaida basi kama kujisifu basi na sisi tulimpiga mtu 4 Tabora...Yanga kampiga mtu tatu hapo hapo Morogoro.
Sasa mwenyekiti ni Mangungu, unategemea nini hapo?Japo mimi ni utopolo lakini hawa ndugu zetu wamezidi umbumbumbu. Hivi hawa viongozi wa simba nani kawaloga? Hivi wanashindwa vipi kuuchagua uwanja wa Chamazi kwa ajili ya mechi zake za nyumban?
Je wana sababu yoyote ya msingi? Hivi timu kuipeleke mkoani kuikodishia hoteli, kuikodishia uwanja wa mazoezi, kusafirisha viongozi na mashabiki, hizi gharama hawaoni km ni kumbebesha mzigo Mo dewj?
Ok njoo sasa kwenye kiwanja wa mechi wenyewe cha Jamhuri ni utopolo mtupu, yani ni mwendo wa butua butua.
Je uongozi wa Simba umeona kabisaa ujiongezee gharama za matumizi kwa ajili ya kwenda kupoteza points huko morogoro?
Nina wasiwasi na hawa viongozi wa Simba inaweza kuwa sio wenzetu hawa
Ukishaanza kuchagua na kukimbia viwanja ujue huna timu ya ushindi.Kawaida basi kama kujisifu basi na sisi tulimpiga mtu 4 Tabora...
Aisee kumbe wamechagua uwanja mbovu ili wapate sabbuHivyo ni visingizio tu... Ila wenye akili walishajua Simba ni mbovu na kinachotafutwa no sababu za kutokuchukua NBC league! . Mashabiki ya Simba ni sawa na wabunge wa CCM tu yanadanganywa kwa mafanikio ya whtup app, shabiki bora[emoji28][emoji28][emoji28].
Sawa...usiku mwema tutaendelea keshoUkishaanza kuchagua na kukimbia viwanja ujue huna timu ya ushindi.
Ubovu wa uwanja kivipi,mbona Yanga amecheza na KMC round hii ya pili hapo hapo Moro na alishinda kwa goli tatu.Aisee kumbe wamechagua uwanja mbovu ili wapate sabbu
Nawe piaSawa...usiku mwema tutaendelea kesho
Hivi hapa 5imba waliona nini kwa huyu mzee paka wakampa uenyekiti?Sasa mwenyekiti ni Mangungu, unategemea nini hapo?
Kwa timu yenye malengo na ubingwa huwezi kuchagua uwanja huo... Uwanja usiruhusu mpira kuchezeka?.Aisee kumbe wamechagua uwanja mbovu ili wapate sabbu
Kushinda kwny uwanja mbovu inawezekana, lakini kwa timu iliyojipanga sio hawa 5imbaUbovu wa uwanja kivipi,mbona Yanga amecheza na KMC round hii ya pili hapo hapo Moro na alishinda kwa goli tatu.
Ubongo umeingia hewaMngeshinda tusingesikia haya, mashabiki wa simba mna shida mahali
TRA? 😀😀Hakuna lolote..mbona juzi wamemkanda mti 6 hapo hapo chamazi?
5imba ni mbovu, mashabiki wao wanadanganywa kama watotoMbona 5imba Queen hailogwi?
Tena pira kubwa kabisa 😀Yanga kampiga mtu tatu hapo hapo Morogoro.
Mangungo mitano tena........Mafanikio yoyote yanaendana na uongozi imara. Hawa mbumbumbu wataendelea kuteseka paka watambue hili
5imba wameshafeli kwenye uongozi, kwaio tutegemee Yanga watawale soka la bongo kwa kipindi kirefuMangungo mitano tena........
Kisugu ndio anae waongozaSimba hamna viongozi hapo mzee, wote ni la 7b, unategemea wafanye maamuzi ya ki chuo kikuu