Hivi kuna Sababu zozote kwa Simba kuacha kuutumia Uwanja wa Chamazi?

πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‘ŒπŸ‘Œ
 
morogoro ni uwanja wa simba
 
Gharama kubwa upigaji mkubwa. Hii ndiyo principle ya bongo. Unauliza makofi polisi?
 
Wakifungwa Morogoro hawazomewi sana kulingana na zomeo ambalo hulipokea wawapoChamazi
 
Kwenye kabumbu bado hujakomaa!
Usiniulize kwa nini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…