Hivi kuna siri gani kati ya mtoto wa pili kuzaliwa na kufanikiwa kimaisha?

Hivi kuna siri gani kati ya mtoto wa pili kuzaliwa na kufanikiwa kimaisha?

Ukisema wa pili unakosea, but kwa kiasi kikubwa watoto wa katikati between kifungua mimba na kitinda mimba, either hua wanafanikiwa sana au wanazingua sana. Kwa obzaveshen yangu (haijawa proved kisayansi) nimeona hizi sababu
1. Hua hawaogopi kutake risks kwasababu hawana nidhamu ya woga kama first borns ambao most times wanalazimishwa kuwa watiifu na mfano.
2. Hua hawapati ile cloose attention kama mtoto wa kwanza na wa .wisho hivo inawasaidia kupata uchungu wa kutafuta kwa nguvu zaidi ili wawe recognized
3. Hawapati favors nyingi compared to wenzao so wanaanza kujitafutia maisha mazuri mapema zaidi
4. Hawatumiki kama mfano kwa wenzao so wana wigo mpana wa kujaribu na kukosea
 
Baraka zote zipo kwa mtoto wa Kwanza. Ye ndo lango la wote kimwili, kiroho yule wa kwanza kupokea wokovu Ndio lango haijarishi wa ngapi. Yote kwa yote njia za Mungu hazichunguziki
 
Ukisema wa pili unakosea, but kwa kiasi kikubwa watoto wa katikati between kifungua mimba na kitinda mimba, either hua wanafanikiwa sana au wanazingua sana. Kwa obzaveshen yangu (haijawa proved kisayansi) nimeona hizi sababu
1. Hua hawaogopi kutake risks kwasababu hawana nidhamu ya woga kama first borns ambao most times wanalazimishwa kuwa watiifu na mfano.
2. Hua hawapati ile cloose attention kama mtoto wa kwanza na wa .wisho hivo inawasaidia kupata uchungu wa kutafuta kwa nguvu zaidi ili wawe recognized
3. Hawapati favors nyingi compared to wenzao so wanaanza kujitafutia maisha mazuri mapema zaidi
4. Hawatumiki kama mfano kwa wenzao so wana wigo mpana wa kujaribu na kukosea
Hatimae watoto wa Kati tumekumbukwa..
 
Muda huu ndio nafika home we mdada[emoji16][emoji16][emoji16]
😀😀Pole Jamani..Mimi Ndiyo naingia kulala ivyoo..uwe na usiku mzuri.....Mkaka wa...
 
Baraka zote zipo kwa mtoto wa Kwanza. Ye ndo lango la wote kimwili, kiroho yule wa kwanza kupokea wokovu Ndio lango haijarishi wa ngapi. Yote kwa yote njia za Mungu hazichunguziki
Umeanza na pumba,ukamalizia na point
 
Hata kaini na Abel, Abel alikuwa wa pili na alitoboa kaini alikuwa wa Kwanza hakutoboa akaingia wivu na hasira akampoteza ndugu yake.

Kuna ukweli hapa
 
mtoa mada ilipaswa ujitetee make

kuna mzaliwa wa pili upande wa mama ila kwa baba,ni mzaliwa wa kwanza.

au mzaliwa wa pili upande wa baba ila kwa mama ni wa kwanza

na ndio wengi wao hapo juu wanaona tafiti yako ni hovyo.
 
Unamaamisha wa Pili Nje Ya Ndoa Au wa Single Mom.
 
Jamani naomba kuuliza hili jambo lina ukweli wowote wa mafanikio kimaisha kati ya mtoto wa pili na wengine?

Maana kwa asilimia kubwa wanaofanikiwa kwa asilimia nyingi ni watoto wa pili kuzaliwa. Nimechunguza familia karibu tatu na ya nne ni yangu mimi yaani wa pili kuzaliwa ndio katoboa kimaisha tulio baki tunasindikiza.

Katika biblia pia Jacobo alikuwa wa pili kuzaliwa, Joe, Bill Clinton, hao wote ni wapili kuzaliwa katika familia zao.

Mwenye uelewa aje na facts tafadhali.
Hapana si lazima awe wa pili bali kuna mmoja ama zaidi ndio huinuliwa .. Baadhi ya familia mmoja akiinuliwa huwainua na wengine hivyo kuonekana ni wote wako njema.. Familia nyingine akipata mmoja hataki wengine wapate
 
Back
Top Bottom